Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Coil hata wewe unacheki tu, na zile nozzle inaezakuwa zimekufs zinatema mafutaFundi gani au garage gani nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coil hata wewe unacheki tu, na zile nozzle inaezakuwa zimekufs zinatema mafutaFundi gani au garage gani nzuri.
Okay, sijui vizuri..nadhani nicheck na fundi hasa kwenye nozzle, shida mafundi wengi wana piga trial and error, ndio maana natamani nipate fundi mzuri.Coil hata wewe unacheki tu, na zile nozzle inaezakuwa zimekufs zinatema mafuta
Check MAF sensor, check Oxygen sensorOkay, sijui vizuri..nadhani nicheck na fundi hasa kwenye nozzle, shida mafundi wengi wana piga trial and error, ndio maana natamani nipate fundi mzuri.
Okay, thanks.Check MAF sensor, check Oxygen sensor
Nozzle za gari ya petrol huwa zinatumia umeme kurusha mafuta so fundi huwa wanaziwekajeje sijui kwenye betri zinamwaga mvuke wa mafuta, ukiona inamwaga mafuta maana imekufa hiyo, kucheki coil ni rahisi unawasha gari unakuwa unatoa coil moja moja kuna namna coil ukiitoa gari haibadili muungurumo, maana yake hiyo coil mbovuOkay, sijui vizuri..nadhani nicheck na fundi hasa kwenye nozzle, shida mafundi wengi wana piga trial and error, ndio maana natamani nipate fundi mzuri.
Hili nalo jaribu kucheki kwa gari yako weka oil ya continental ama castro 5w30 thinthetic oil ina bei kidogo nafikiri nilf 25 ama 30 kwa litaMkuu oil unayotumia ndo iko recomend na manufacture au fundi kakushauri hvyo?Unaweza kuta unaenda mbali sana kumbe tatizo liko hapa
Huu ulaji kwa kweli ni Kama Jini au JokaWakuu kwema,
Kuna Toyota Runx nimenunua mkononi yapata mwezi mmoja sasa. Ila ulaji wake wa mafuta unanitisha sana.
First time nimeweka mafuta full tank, ila baada ya km 143 tank likafika nusu kasoro bar 2 nikajazia lita 20 ili iwe full.
Second time nimeenda km 192 tank likaenda bar moja chini ya half tank, kujaza tena ili iwe full tank nimeweka lita 30.
Mara ya kwanza nilikua natumia full AC mara ya pili AC nilikua natumia occasionally kutokana na hizi mvua.
Ukiangalia haraka ni kama 6.5-7km/l hata kama ni hizi foleni za Dar mbona huu ulaji naona unatisha? Natoka tabata to mjini around km 13/14 kwenda na kurudi asubuhi na jioni.
Important details ninazokumbuka;
1. Ina km 180904
2. cc1490
3. Oil nikibadili baada ya kununua (20w-50), muuzaji aliniambia ninunue hii kwa sababu engine ina zaidi ya km 150k
4. Nilibadili plugs zote 4 ila sikuangalia specifications ( jumla ilikua 60k)
Please msaada, nifanye nini iwe na ulaji angalau 12km/L kwa hizi foleni za Dar. Kama kuna mtu anaweza ku recommend garage/fundi mzuri wa hili tatizo msaada please.
Mafundi wa magari basi tu tunaongozwa na MunguOkay, sijui vizuri..nadhani nicheck na fundi hasa kwenye nozzle, shida mafundi wengi wana piga trial and error, ndio maana natamani nipate fundi mzuri.
Ushapewa no fundi abdala pale juu nenda huko ilala ulete mrejesho.Okay, sijui vizuri..nadhani nicheck na fundi hasa kwenye nozzle, shida mafundi wengi wana piga trial and error, ndio maana natamani nipate fundi mzuri.
Kwa ulaji huu Kwamba Premio Second generation ya 1.8L (2ZR ENGINE) inaenda vizuri kuliko 1.5L Runx maana nikiwa town napata 14 per Litre na highway napata hadi 17 per litre ijapo haipungui 16 per Litre.Wakuu kwema,
Kuna Toyota Runx nimenunua mkononi yapata mwezi mmoja sasa. Ila ulaji wake wa mafuta unanitisha sana.
First time nimeweka mafuta full tank, ila baada ya km 143 tank likafika nusu kasoro bar 2 nikajazia lita 20 ili iwe full.
Second time nimeenda km 192 tank likaenda bar moja chini ya half tank, kujaza tena ili iwe full tank nimeweka lita 30.
Mara ya kwanza nilikua natumia full AC mara ya pili AC nilikua natumia occasionally kutokana na hizi mvua.
Ukiangalia haraka ni kama 6.5-7km/l hata kama ni hizi foleni za Dar mbona huu ulaji naona unatisha? Natoka tabata to mjini around km 13/14 kwenda na kurudi asubuhi na jioni.
Important details ninazokumbuka;
1. Ina km 180904
2. cc1490
3. Oil nikibadili baada ya kununua (20w-50), muuzaji aliniambia ninunue hii kwa sababu engine ina zaidi ya km 150k
4. Nilibadili plugs zote 4 ila sikuangalia specifications ( jumla ilikua 60k)
Please msaada, nifanye nini iwe na ulaji angalau 12km/L kwa hizi foleni za Dar. Kama kuna mtu anaweza ku recommend garage/fundi mzuri wa hili tatizo msaada please.
SureUshapewa no fundi abdala pale juu nenda huko ilala ulete mrejesho.
Vinginevyo utapigwa humu
Engine ina kilometer ngapi?Kwa ulaji huu Kwamba Premio Second generation ya 1.8L (2ZR ENGINE) inaenda vizuri kuliko 1.5L Runx maana nikiwa town napata 14 per Litre na highway napata hadi 17 per litre ijapo haipungui 16 per Litre.
Hivi wanavyosemaga engine kizidi 150k km inabidi uweke 20w-50 hii imekaaje?Hili nalo jaribu kucheki kwa gari yako weka oil ya continental ama castro 5w30 thinthetic oil ina bei kidogo nafikiri nilf 25 ama 30 kwa lita
Niliambiwa na muuzaji kwa sababu imevuka km 150k nitumie 20w-60 badala ya 5W-30 synthetic then nkampelekea fundi aweke na akakubali.Mkuu oil unayotumia ndo iko recomend na manufacture au fundi kakushauri hvyo?Unaweza kuta unaenda mbali sana kumbe tatizo liko hapa
Niliambiwa na muuzaji kwa sababu imevuka km 150k nitumie 20w-60 badala ya 5W-30 synthetic then nkampelekea fundi aweke na akakubali.
Imekuja na 72km now iko 73km.Engine ina kilometer ngapi?
Duuuh, ilikua na km ngapi?Rudi kwenye oil yake mkuu tatizo litaisha anyway wenye utaalamu zaidi wakuje me langu likua na km za kutosha nkajichanganya kubadili kwa ushauri wa dukani asee gari ilikua nzito inabugia mafuta so poa ilibidi ni mwage oil tena
Mpya sana hii itakua E ya mbele mbeleImekuja na 72km now iko 73km.