Yeah huyo jamaa yuko vizuri sana anaitwa Gody lakini sie wa chuga tunamuita Godii..haahaa.safi team Subaru mwenzangu..Mkuu nilishapata uvumbuzi wa tatizo.Nlienda Biafra K/Ndoni kuna garage inaitwa 0-60.Jamaa wako vizur na ndo mahali na fanya service gari.Hawabahatishi.
Acha siasa mkuu hawa wakina fundi juma temeke mwembeni ukiwapelekea BENZ si wanaiuaGari ni gari tuuu.sijui subaru,toyota,nissan,isuzu bmw benzi n.k tofauti majina tuu lkn ufanyaji wa kazi ni sawa.ukiona kama ww ni fundi harafu unashindwa kurebisha jua unashida ww.
Ufundi unahitaji kila siku.kujifunza.
Asilimia kubwa wengi huwa wanakuwa wauza spea. Ila fundi wa kweli hachagui gari
Yeah huyo jamaa yuko vizuri sana anaitwa Gody lakini sie wa chuga tunamuita Godii..haahaa.safi team Subaru mwenzangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama unaweza kuweka namba ya simu ya huyo fundi Godii itakua poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha siasa mkuu hawa wakina fundi juma temeke mwembeni ukiwapelekea BENZ si wanaiua
Chukua bmw afu kampe fundi aliyezoea toyota akusaidie kumwaga oil kutoka kwenye bimmer yako uone jasho litakavyomtoka.Gari ni gari tuuu.sijui subaru,toyota,nissan,isuzu bmw benzi n.k tofauti majina tuu lkn ufanyaji wa kazi ni sawa.ukiona kama ww ni fundi harafu unashindwa kurebisha jua unashida ww.
Ufundi unahitaji kila siku.kujifunza.
Asilimia kubwa wengi huwa wanakuwa wauza spea. Ila fundi wa kweli hachagui gari
Hahahhaa sasa kumwaga oil kuna ufundi gani mkuu.uvivu wa sisi watanzania kuanzia mafundi mpaka wanao miliki magari ndio majangazi.Chukua bmw afu kampe fundi aliyezoea toyota akusaidie kumwaga oil kutoka kwenye bimmer yako uone jasho litakavyomtoka.
In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
Ni pm nkupe Fundi Wa Subaru yupo kino nilikua na Subaru miaka ya nyumaMkuu kama unaweza kuweka namba ya simu ya huyo fundi Godii itakua poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayali roho ya udalali imesha ingiaKinondoni biafra..sema ungetaja gari yako ina shida gani ndio ingekuwa vizuri zaidi.kama ni upande wa umeme au machenical
Huko ni kufanya uaguzi tuu no way outHaya magari ndio maana wengine wanayaogopa sasa wa Mjini tuu mnatafuta fundi kiasi hiki sisi wa Sumbawanga huku jee..matoyota
Kuna specialization mkuu. Daktari wa meno hawezi tibu tumboGari ni gari tuuu.sijui subaru,toyota,nissan,isuzu bmw benzi n.k tofauti majina tuu lkn ufanyaji wa kazi ni sawa.ukiona kama ww ni fundi harafu unashindwa kurebisha jua unashida ww.
Ufundi unahitaji kila siku.kujifunza.
Asilimia kubwa wengi huwa wanakuwa wauza spea. Ila fundi wa kweli hachagui gari
Kwahiyo huyo daktari wa meno huwa anakuwa specialization kwa meno ya watu wa rika zote au wavijana vijana watoto watoto wazee wazee wanawake wanawake au..kwa mfano fundi aliye specializer kwenye rangi tuu ataweza kupiga rangi gari zote au kama ni toyota basi ni toyota tuu au ataweza kupiga na nissan subaru benzi bmw nk??.
Sikia. Magari yana manufacturer. Magari yana family na pia magali yana models. Pia kila model ina mifumo yake.Kwahiyo huyo daktari wa meno huwa anakuwa specialization kwa meno ya watu wa rika zote au wavijana vijana watoto watoto wazee wazee wanawake wanawake au..kwa mfano fundi aliye specializer kwenye rangi tuu ataweza kupiga rangi gari zote au kama ni toyota basi ni toyota tuu au ataweza kupiga na nissan subaru benzi bmw nk??.
Lkn zunguka na mbwembwe zote principle kama ni engine ni ile ile tuuuSikia. Magari yana manufacturer. Magari yana family na pia magali yana models. Pia kila model ina mifumo yake.
Sent using Jamii Forums mobile app