mkuu kama ilikata mkanda na umebadili mkanda mwingine lazima ureset na diagnosis machine /uclear fault code. au fundi wako anaweza reset kwa njia ya manually. inategemeana nigari ya aina gani mkuu.
au kama hayo akiyafanya lkn bdo taa inawaka basi apime na mashine kujua tatizo ni nn au anaweza kupima hata manually pia na ikampa majibu.
kama upo dar unaweza nitafuta nikaja kukupimia 0717228064