Habari wana jf'
Naomba msaada kwa wenye uzoefu was magari ;Gari yangu ilikuwa inatokea puto mtu anaputo kwenye dashboard fund wangu aliniambia imekata mkanda wa hone;na ilikuwa kweli nimereplace mkanda lakini sitill bado puto linatokea nisaidiemi wadau !
mkuu kama ilikata mkanda na umebadili mkanda mwingine lazima ureset na diagnosis machine /uclear fault code. au fundi wako anaweza reset kwa njia ya manually. inategemeana nigari ya aina gani mkuu.
au kama hayo akiyafanya lkn bdo taa inawaka basi apime na mashine kujua tatizo ni nn au anaweza kupima hata manually pia na ikampa majibu.
kama upo dar unaweza nitafuta nikaja kukupimia 0717228064
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.