Hakuna mtu atakaye kutengenezea gari jamii forum zaidi ya wewe kutafuta fundi aliye karibu nawe akutatulie tatizoHabar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo
Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Anaweza kupata fundi hata humu JF.Hakuna mtu atakaye kutengenezea gari jamii forum zaidi ya wewe kutafuta fundi aliye karibu nawe akutatulie tatizo
Kwa nyongeza Nisan xtrail ni gari zinazo aumbua wengi sana na wakati mwingine husumbua hata ikiwa mpya,wengi wao wameto baadhi ya spare nyingi na kufunga za Rav4 hasa Engine na gearbox
Basi tatizo lako halihusiani na kuosha. Tafuta fundi aweke mashine utajua tatizo liko wapi.Hapana waliosha ndani na nje tuuh
mfumo wa umeme umezingua hapo muone mechanical inshu ndogoBasi tatizo lako halihusiani na kuosha. Tafuta fundi aweke mashine utajua tatizo liko wapi.
Nawaona tu kwa mbali Team Toyota mkianza kuusogelea uzi ili kuja kuwakatisha tamaa wasio tumia magari jamii ya Toyota.Hapo hamna gari mkuu
Mkuu hongera kwa kumiliki gariHabar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo
Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Mkuu RRONDO na mimi nifanyaje kwenye Bugatti yangu chiron used (2.5 m$ likiwa jipya 8m$) lina tatizo hilohiloBasi tatizo lako halihusiani na kuosha. Tafuta fundi aweke mashine utajua tatizo liko wapi.
Hahaha!..Mkaldayo naona jumapili yako sio mbaya sana leoMkuu RRONDO na mimi nifanyaje kwenye Bugatti yangu chiron used (2.5 m$ likiwa jipya 8m$) lina tatizo hilohilo
Nitumie tiketi ya ndege,andaa makazi yangu kwa siku tatu nitakazokuja kukagua hio gari.Mkuu RRONDO na mimi nifanyaje kwenye Bugatti yangu chiron used (2.5 m$ likiwa jipya 8m$) lina tatizo hilohilo
Kawaida tu MyebusiHahaha!..Mkaldayo naona jumapili yako sio mbaya sana leo