Msaada wa haraka: Gari haiwaki baada ya kutoka kuosha pamoja na engine

Msaada wa haraka: Gari haiwaki baada ya kutoka kuosha pamoja na engine

Steph JK

Senior Member
Joined
Sep 14, 2018
Posts
104
Reaction score
109
Wakuu naomba msaada,

Nimekuja na gari car wash wameiosha pamoja na engine cha kushangaza wakati nataka kutoka haiwaki.

Msaada tafadhali
 
Mimi huwa siwaruhusu kabisa waguse injini wakati wa kuosha yaani hata bonnet siwaruhusu kufungua .Wakati mwingine ukitaka kuosha injini ni bora utumie upepo badala ya maji.

Wale waoshaji siyo mafundi wa magari hawafahamu vizuri mahusiano ya injini ya gari na maji na umeme wa gari na maji. Wakati mwingine unawezakuta terminal za battery zimeloa zikasababisha kutu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Check terminal za battery kama ziko connected sawasawa
 
Apo shida ya direct maji yanaweza kua yameingia kwenye controller directly, engine haioshwi kwa maji wataalam. Engine inatakiwa ioshe na steam.

So mcheki Daktar wa magari itakua sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni ya petrol,maji yatakuwa ysmeingia kwenye distributor,sio tatizo kubwa,unafungua unaikausha kwa kitambaa,tu
 
Mambo ya hydrolock hayo, thou is not a big deal

Ungejua mapema usingeliwasha hilo gari mda huo
 
Waswahili wanaosha magari ili yatakate kama mtu huu ujinga sijui wataacha lini!

fikiria mtu unaondoa greese kwenye boal joint hivi una akili kweli? kwenye engine , bettry ni mimaji ya pressure kwa kwenda mbele week tu gari limechoka!
 
Back
Top Bottom