MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,924
- 6,854
Gari yangu imezama kabisa baharini kwa muda wa masaa km 24 hivi ila now ishatolewa ipo nchi kavu,
Nini kifanyike plz???
Usiiwashe, ikokote mpaka gereji au mahali salama, tafuta fundi mzuri wa aina ya gari lako katika eneo lako aikague vizuri na akushauri nini cha kufanya, muhimu usiiwashe kabla ya kukaguliwa kama "imekunywa" maji kiasi gani na sehemu gani; engine, fuel tank nk ili ifanyiwe marekebisho muhimu. usiiwashe!