Gari inapozama kwenye maji hofu kubwa ni gari kunywa maji,gari hunywa maji hasa kupitia air cleaner na maji haya moja kwa moja huenda kwenye cylinder head na hueweza kushuka chini kwenye sample.Hapa ndipo kwenye hatari kwani oil huchanganyika na maji.Lakini usisahau maji ya bahari yana chumvi na chumvi ni hatari inapoingia kwenye engine.
Sehemu nyingine maji hueza kuingia kupitia kwenye tank la mafuta.
Ushauri;
Mtafute fundi akutizamie gari yako lakini kwavyovyote hio gari cylinder head na sample vifunguliwe na kumwagwa oil yote ambayo kwavyovyote itakua imechanganyika na maji.
Pia kusafisha tank ya mafuta!
Pole na kila la heri!