feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,594
- 4,189
Ukiweka hizo ndio umpatie baba mkwe.ahaaa hadi puumbu naweka
Ha!ha!ha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweka hizo ndio umpatie baba mkwe.ahaaa hadi puumbu naweka
ahaaaaa sasa unataka zitupwe?Ukiweka hizo ndio umpatie baba mkwe.
Ha!ha!ha!
ahahaaa acha ujinga fumbo gani jamani?mmmh haya mafumbo yenu dooooh....
Mbona umesahau kuniquote? Unaniogopa?
Njoo nikutongoze tupigwe ban.navyojua supu hainaga mbwembwe !usisahau tu spices tu !na ukate karot ndefu ziwe kama sm c kama kidole chako zisiwe into cubes !tupia na viaz mviringo !karot weka za kutosha !
Duuuhmmmh haya mafumbo yenu dooooh....
achana nae huyoDuuuh
Kumbe hii thread ni tungo tata?
Hahah funguka vizuri bassachana nae huyo
mkuu... nazani utakuwa umeelewa zaidi ya nilivyo elewa... ndio maana ukaenda ndani zaidi... ukazama kwenye supu hahahahahaDuuuh
Kumbe hii thread ni tungo tata?
ahahaaa acha ujinga fumbo gani jamani?
Njoo nikutongoze tupigwe ban.
hiyo supu ni ya nyama kawaida au utumbo?
fanya mixer ya kichwa, kanyagio, ulimi, shingo, moyo na utumbo, weka njegere, hoho, karoti, vitunguu na mafuta, chemshaaaa.
hiyo supu ni balaa
[emoji1] [emoji1] mbona umeguna hayatumiki kwenye supu?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]dah !sawa
Hahaaahaahahah umetoka lockup!nakwambia had uache kutongoza wewe !utanyooshwa na mods vilivyo
kidogo ndioMAFUTA?????????