high IQ man
Member
- Nov 4, 2021
- 59
- 69
Wakuu za jioni, nilikua nasafiri kutoka kigoma kuja Dodoma na bus la AN Classic.
Nilikua na kibeg cha mgongoni
Ndani kuna PC aina ya HP kulikua kwenye carrier.
Kushuka stand naangalia kwenye beg, PC siioni ila zip imefunguliwa, nimetafta kwenye bus lote sjaona kitu,
Msaada wakuu kwenye hali kama hii tunachukua hatua gani?
Nilikua na kibeg cha mgongoni
Ndani kuna PC aina ya HP kulikua kwenye carrier.
Kushuka stand naangalia kwenye beg, PC siioni ila zip imefunguliwa, nimetafta kwenye bus lote sjaona kitu,
Msaada wakuu kwenye hali kama hii tunachukua hatua gani?