yaani Laptop unaweka kwenye keria kisha unakaa kwenye siti na kutwanga usingizi[emoji57][emoji57]pole sana
π Jina halihusiki bnPole sana.
Ukute jina la account yako limekuponza. [emoji3]
ππDuh pole kuibiwa kitu chako INAUMA sana especially electronic devices zenye data zako muhimu siku nyingine usiweke KWENYE carrier ibebe uwe nayo muda wote pole aisee
shukrani mkuu, ngoja nijipange upyaDuh, pole sana Mkuu, yaani nikijaribu kuvaa viatu vyako mpaka mwili unasisimka maana ni juzi tu nilihisi nimepoteza Camera, mwili wote ukalegea na mshtuko juu mara nikakumbuka kuwa nilihamishia kwenye mfuko mwingine.
Natamani kama kungekuwa na namna uipate lakini duh, Mwizi naye anatekeleza maagizo ya Kiongozi wake Bw Shetani a.k.a lucifer.
Ila kwa uzoefu mabasi mengi ya Arusha Dar wanatoa tangazo mapema kutokuweka begi lenye Laptop kwenye carrier, sasa siju basi hilo kwa nini hawafanyi hivyo.