mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Kuna ndugu yangu alinunua mafuta yanayosadikiwa kuwa ni ya wizi kwani hakua na risiti ilionesha kua mafuta hayo ameyanunua.
Alimpatia mfanyakazi wa uwanja wa ndege ili amsafirishie kupeleka kwa bahati nzuri yakakamatwa na yule aliepatiwa kwa kusafirisha akatiwa ndani kwa siku mbili ili amtaje aliempatia mafuta siki ya tatu alitolewa kwa dhamana baada ya kumtaja aliempa na kuambiwa atowe taarifa akimuona.
Miaka 2 na nusu imepita jamaa amemuona huyu jamaa aliempa mafuta kaenda kituoni na kuchukua askari na kuemda kumkamata na wamemuweka ndani.
Sasa naomba njia na sheria ya kumpatia zamana?
Jeee njia zipi anaweza kuzitumia ili asingie hatiani?
Alimpatia mfanyakazi wa uwanja wa ndege ili amsafirishie kupeleka kwa bahati nzuri yakakamatwa na yule aliepatiwa kwa kusafirisha akatiwa ndani kwa siku mbili ili amtaje aliempatia mafuta siki ya tatu alitolewa kwa dhamana baada ya kumtaja aliempa na kuambiwa atowe taarifa akimuona.
Miaka 2 na nusu imepita jamaa amemuona huyu jamaa aliempa mafuta kaenda kituoni na kuchukua askari na kuemda kumkamata na wamemuweka ndani.
Sasa naomba njia na sheria ya kumpatia zamana?
Jeee njia zipi anaweza kuzitumia ili asingie hatiani?