Msaada wa haraka kuhusu talaka

Loly

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
522
Reaction score
221
Ukiwa mwanaume amekutelekeza zaidi ya miaka sits aliniacha na mimba ya mwezi hajawahi kugeuja wala hamjui mwanae hadi Leo na Mimi sijawahi kumfuatilia japo nasikia yupo hapa hapa town naameshaoaoa zaidi ya Mara 2.
Msaada ninaohitaji nichukue hata gani ili tupeane talaka ili namimi niwe huru sasa kuchagua nimpendae? Je kuna madhara yoyote ya baadae labda kama tusipopeana talaka?
Please wanasheria nisaidieni
 
hilo kosa ni ushahidi tosha kufany marriage kuvunjika bila marekebisho ambayo ipo katik section 107(2) of law of marriage act so ww nenda mahakam ya mwanzo kaomb talak yako kwa kosa la kuitelekekez familia kutokan na kosa hilo
 
hilo kosa ni ushahidi tosha kufany marriage kuvunjika bila marekebisho ambayo ipo katik section 107(2) of law of marriage act so ww nenda mahakam ya mwanzo kaomb talak yako kwa kosa la kuitelekekez familia kutokan na kosa hilo
Ahsante sana kwa ushauri naitwe je nikienda mahakamani lazima na yeye aitwe?
 
Ahsante sana kwa ushauri naitwe je nikienda mahakamani lazima na yeye aitwe?

yAp lazim na yey awwpo kujibu mashtak kwa nn alitekelez familia so utapew summons ya kumuit yey aje kujuwa km umefungua shaur la kuomb tarak na hutaki ndoa yako irekebishwe ila mwisho wa siku talaka itatolewa
 
means yey ataitwa kipind kesi itakapo funguliwa yaan hpo una mashitak nawil lakwaza ni kutekeza familia na lapili ni kutok nje ya ndoa
 
JE ULIFUNGA NDOA NA HUYU MWANAMME? JE UNA CHETI CHA NDOA? JE LENGO LAKO LA KUOMBA TALAKA NI NINI? JE KUNA MALI MMECHUMA WOTE? je uliishi na huyo mwanamme kwa muda gani? Naomba unipe jibu ili nikupe ushauri wa kisheria
 
JE ULIFUNGA NDOA NA HUYU MWANAMME? JE UNA CHETI CHA NDOA? JE LENGO LAKO LA KUOMBA TALAKA NI NINI? JE KUNA MALI MMECHUMA WOTE? je uliishi na huyo mwanamme kwa muda gani? Naomba unipe jibu ili nikupe ushauri wa kisheria
Ndio tulifunga ndoa kanisani na cheti kipo, tuliishi miaka kama miwili na ushee, hakuna Mali yoyote tuliyovuna Mimi na yeye, lengo lamimi kutaka talaka ni kuwa alinitelekeza kwa zaidi ya miaka 6 sasa nasijuhi alipo aliniacha na mimba ya mwezi mmoja nahajageuka nyuma tena, ila nasikia yupo na ameshaoa tena harusi kabisa ila sijuhi anapoishi wala maisha yake siyajui wala yeye hajui yangu, nataka talaka ili niwe huru Mimi bado mdogo ninawezapata tatizo likaja kwenye dosari ya ndoa.
 

Ndoa ya kanisani haivunjwi.
 
Ni rahisi... tafuta afsa mtendaji mweleze akiweza akufanyie makarateka kukupa muhutasari wa baraza la wazee kuwa ni kweli hamuishi pamoja na ndoa haiwezekani tena kuendelea kwasababu ulizozitaja then nenda kafungue jalada mahakamani la talaka... ataitwa mara tatu akitokea shauri litasikizwa na maamuzi yatatolewa ila akiitwa mara tatu na asipotokea talaka itatoka na atakutananayo barabarani... na sio kila ndoa hutoka kwa Mungu jmn thats why ndoa inaweza kuvunjwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…