Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana, nimeangalia hii pichankwanza nimecheka. Hivi unampa chakula gani hicho?
Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi!Hicho chakula ni pumba lakini hata hivyo nilikuwa nawapa mboga za majani.Kuhusu chanjo kuna mtaalamu aliniambiaga niwape chanjo ya Tatu moja nikafanya hivyo.Ajabu kuna wengine walikufa hata bila kuonyesha dalili yoyote.Huyo ha po kwenye picha anaharisha mharo wa njano na weupePole Sana, nimeangalia hii pichankwanza nimecheka. Hivi unampa chakula gani hicho?
Hata hivyo naomba nizungumze utunzajinwa vifaranga kwa ujumla ambalonaona ndilo tatizo lako na tatizo la wengi.
UNAWATUNZAJE VIFARANGA WAKO WA BATA?
Kuleaa vifaranga wa Bata siyo jambo dogo, wanahitaji joto zuri la kutosha ili wasipatwe na magonjwa ya baridi. Hivyo unapaswa mfugaji kuhakikisha unatumia bulbu nzuri yenye joto la kutosha #heatbulb usiku na mchana kunapokuea na baridi au mvua.
Vifaranga wanahitaji maji ya kunywa lakini hakikisha maji hayo hawayaogi ndani ya wiki 3-5 zaidi ya kunywa sababu wanaweza kupatwa na Nimonia. Andaa eneo lako la wao kushinda na kunywea maji ambalo litaruhusu maji wanayokunywa yanapomwagika hayatuami chini walipo.
CHANJO ZA BATA: Bata wakiwa ni ndege kama kuku nao wanastahili kupewa kinga. Unaweza kuwakinga na maradhi kwa kuwaweka sehemu safi. Ila kama unataka uhakika wa asilimia 200 bata wako wasife wape chanjo kwa mtiririko ufuatao.
•Siku moja hadi 6 wape dawa Neoxychick
•Siku 7 yani wiki ya kwanza (baada ya kumaliza kutumia Neoxychick) wape chanjo ya Newcastle
•Siku 14 yaani wiki ya pili wape chanjo ya Kideri
•Wakifika siku ya 21 yani wiki ya tatu wape chanjo ya Newcastle tena.
•Siku ya 24 yaani wiki ya 4, wape chanjo ya Gumboro.
Hapo utakuwa umekata mzizi wa fitina, lakini zingatia usafi pamoja na lishe bora. Inashauriwa kila unapowapa chanjo wape Vitamin kabla hujawapa chanjo ingine, na Vitamin nzuri inaitwa IntroVit A, baada ya hapo unaweza kuwapa vifaranga wapo Growers Mash bila chanjo tena na watakuwa vizuri bila tatizo.
CHAKULA CHAO: Bata hasa wakiwa wadogo inashauriwa wale starter kwa angalau kipindi cha wiki 3-4 (mwezi) na wawekewe Glucose ile ya kuku kwenye maji yao ya kunywa pamoja na Vitamin, ila kuna ambao hawafuati haya masharti.
Kuna ambao wanawanyoosha shingo bata wakiwa wadogo na bata hukua bila tatizo lolote.
Hio pumba ina virutubisho? Lazima wafe tu inaonekana ufugaji sip hobby yako unafanya kuforce, Mazingira machafu kama hayo wanaacha vipikuta Typhod na kufa? Kinacho waua ni hayo mazingira machafu na kuwalisha misosi ya kipuuziAsante kwa ushauri nitaufanyia kazi!Hicho chakula ni pumba lakini hata hivyo nilikuwa nawapa mboga za majani.Kuhusu chanjo kuna mtaalamu aliniambiaga niwape chanjo ya Tatu moja nikafanya hivyo.Ajabu kuna wengine walikufa hata bila kuonyesha dalili yoyote.Huyo ha po kwenye picha anaharisha mharo wa njano na weupe
Nani kwa kuambia chanjo ndo tiba? Bata wana immune kubwa sana hawawezi pata haya magonjwa ya kuambikzwa kama kideri, tatioz ni uchafu wanapata infection hasa typhod,Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi!Hicho chakula ni pumba lakini hata hivyo nilikuwa nawapa mboga za majani.Kuhusu chanjo kuna mtaalamu aliniambiaga niwape chanjo ya Tatu moja nikafanya hivyo.Ajabu kuna wengine walikufa hata bila kuonyesha dalili yoyote.Huyo ha po kwenye picha anaharisha mharo wa njano na weupe
Asante kwa ushauri!Ningependa unijulishe "misosi "isiyokuwa ya kipuuzi ni ipi?Wenye hobby ya ufugaji wanafugaje?Nielimishe.Pia kumbuka unaongea na mtu ambaye hajawahi fuga bata ni Mara yangu ya kwanzaHio pumba ina virutubisho? Lazima wafe tu inaonekana ufugaji sip hobby yako unafanya kuforce, Mazingira machafu kama hayo wanaacha vipikuta Typhod na kufa? Kinacho waua ni hayo mazingira machafu na kuwalisha misosi ya kipuuzi
Umeeleza vema ila kunavitu nafikiri haviko sawa,Pole Sana, nimeangalia hii pichankwanza nimecheka. Hivi unampa chakula gani hicho?
Hata hivyo naomba nizungumze utunzajinwa vifaranga kwa ujumla ambalonaona ndilo tatizo lako na tatizo la wengi.
UNAWATUNZAJE VIFARANGA WAKO WA BATA?
Kuleaa vifaranga wa Bata siyo jambo dogo, wanahitaji joto zuri la kutosha ili wasipatwe na magonjwa ya baridi. Hivyo unapaswa mfugaji kuhakikisha unatumia bulbu nzuri yenye joto la kutosha #heatbulb usiku na mchana kunapokuea na baridi au mvua.
Vifaranga wanahitaji maji ya kunywa lakini hakikisha maji hayo hawayaogi ndani ya wiki 3-5 zaidi ya kunywa sababu wanaweza kupatwa na Nimonia. Andaa eneo lako la wao kushinda na kunywea maji ambalo litaruhusu maji wanayokunywa yanapomwagika hayatuami chini walipo.
CHANJO ZA BATA: Bata wakiwa ni ndege kama kuku nao wanastahili kupewa kinga. Unaweza kuwakinga na maradhi kwa kuwaweka sehemu safi. Ila kama unataka uhakika wa asilimia 200 bata wako wasife wape chanjo kwa mtiririko ufuatao.
•Siku moja hadi 6 wape dawa Neoxychick
•Siku 7 yani wiki ya kwanza (baada ya kumaliza kutumia Neoxychick) wape chanjo ya Newcastle
•Siku 14 yaani wiki ya pili wape chanjo ya Kideri
•Wakifika siku ya 21 yani wiki ya tatu wape chanjo ya Newcastle tena.
•Siku ya 24 yaani wiki ya 4, wape chanjo ya Gumboro.
Hapo utakuwa umekata mzizi wa fitina, lakini zingatia usafi pamoja na lishe bora. Inashauriwa kila unapowapa chanjo wape Vitamin kabla hujawapa chanjo ingine, na Vitamin nzuri inaitwa IntroVit A, baada ya hapo unaweza kuwapa vifaranga wapo Growers Mash bila chanjo tena na watakuwa vizuri bila tatizo.
CHAKULA CHAO: Bata hasa wakiwa wadogo inashauriwa wale starter kwa angalau kipindi cha wiki 3-4 (mwezi) na wawekewe Glucose ile ya kuku kwenye maji yao ya kunywa pamoja na Vitamin, ila kuna ambao hawafuati haya masharti.
Kuna ambao wanawanyoosha shingo bata wakiwa wadogo na bata hukua bila tatizo lolote.
Mkuu mbona umemjia kwa ukali kama mwalimu wa sayansi kimuHio pumba ina virutubisho? Lazima wafe tu inaonekana ufugaji sip hobby yako unafanya kuforce, Mazingira machafu kama hayo wanaacha vipikuta Typhod na kufa? Kinacho waua ni hayo mazingira machafu na kuwalisha misosi ya kipuuzi
Bata na Kuku wote wanaweza kuugua magonjwa. Japo Bata huathirika zaidi na minyoo na typhoid kutokana na mfumo wao wa maisha.Umeeleza vema ila kunavitu nafikiri haviko sawa,
Newcastle=Kideri=Mdondo
Huu ni ugonjwa mmoja.
Kingine sidhani kama kila ugonjwa wa kuku na bata nao wanaugua.Sijawahi sikia kama Bata nao wanaumwa kideri,gumboro haya ni maradhi ya kuku.
Uzoefu wangu kwani mimi ni mfugaji,
Bata wadogo wanahitaji starter na mult vitamin na wakikuwa kiasi wapewe dawa za minyoo,hili likifanyika sambamba na kuzingatia wanapata joto vizuri na kuwaweka mazingira mazuri vifaranga wa Bata wanakuwa vizuri na hawezi kufa kwa rate yakutisha.
Naona jamaa anawalisha machicha ya nazi hapo ndipo kwenye shida.
Kwa uchafu wa hayo mazingira vifaranga haviwezi kupona.
Umewaleaje?Vifaranga wa bata wangu wamemalizikia jana. Inasikitisha sana. Kwa siku moja walikuwa wakifa wanne , watano
JESUS IS LORD
Nimekupata vizuri mkuu na nimepata shule ya bure, ila hujatolea maelezo kwenye ushauri juu ya kuwapa chanjo ya Newcastle wakiwa na siku 7 na kuwapa chanjo ya kideri wakiwa na siku 14Bata na Kuku wote wanaweza kuugua magonjwa. Japo Bata huathirika zaidi na minyoo na typhoid kutokana na mfumo wao wa maisha.
Mimi pia mfugaji wa bata ninao zaidi 150+ na vifaranga wangu wanapozaliwa kwanza huwalea mwenyewe kutoka Kwa Mama yao, hivyo hakikisha napata joto na huwapatia dawa ya Gulvet BF katika siku 6 za mwanzo na kisha chanjo ya kwanza ya Newcastle, na baadaye huendelea na chakula Starter na Gulvet.
Wakubwa kila mwezi wanapata dawa ya minyoo na multivitamin, sijawahi poteza labda kuishiwa nguvu miguu ambapo ikitokea/ imetokea Bata 2 niliwapa DCP wakapona.
Mengine Mdondo na nini nimetapata Kwa watalaamu sasa nipe shule zaidi nijifunze
Naomba picha ya Sandusky kama hutojali nataka nianze maandalizi mapema Baada ya kufiwa vifaranga wote wa bataUmewaleaje?
Kwanza hakikisha wanapokunywa maji wanywe yakuwa na dawa, lakini wanywe tu wasiyaoge, Kwa hiyo lazima uhakikishe unawaweka.mahali ambapo hawatalowa na hiyo Unaweza kuandaa Sandusky ambalo chini linakuwa na wavu mdogo wakinywa maji mengine hutoka.pembeni ya mdomo Yao basi yasituame yapituluze chini.
Nisaidieni wadau, huo ni ugonjwa gani wa bata? Unatibiwaje?
Vifaranga vya bata wangu vinaisha kwani hupoteza uwezo wa kutembea kama muonavyo pichani kisha hufa.
MSAADA WA HARAKA WA USHAURI UNAHITAJIKA.
Ninawaomba sana wana JF