Vifaranga wa wakiwa wadogo watenge either pekee Yao au na mama yao then wape starter,vitamin na glucose mpk wakishabadilika manyoya ndo unaweza watoa nnje
Kwa mahitaj ya vifaranga vya bata bukin, mallard, jumbo perkin na khaki
Wanapatikana chanika kwa singa
Call 0746696878
View attachment 2198831
View attachment 2198832
View attachment 2198833
View attachment 2198834
View attachment 2198835
View attachment 2198836
View attachment 2198837
Bei inategemeana na aina bata na umriiBei zao?
Kanunue iron haraka,iko kama sukari hiviNisaidieni wadau, huo ni ugonjwa gani wa bata? Unatibiwaje?
Vifaranga vya bata wangu vinaisha kwani hupoteza uwezo wa kutembea kama muonavyo pichani kisha hufa.
MSAADA WA HARAKA WA USHAURI UNAHITAJIKA.
Ninawaomba sana wana JF
Kanunue iron haraka,iko kama sukari hivi
Maduka ya madawa na vyakula vya mifugo unapata.Mimi walikuwa hawawezi kusimama lakini waliimarika ndani ya siku tatuInapatikana wapi?Naweza kuipata duka la dawa za mifugo?Inatumikaje?
Kanunue iron haraka,iko kama sukari hivi
Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi awamu ya pili kwani hadi sasa vifaranga wangu wote wamekufaMaduka ya madawa na vyakula vya mifugo unapata.Mimi walikuwa hawawezi kusimama lakini waliimarika ndani ya siku tatu
Bata wa kawaida anaatamia/analalia siku ngapi bossVifaranga wa wakiwa wadogo watenge either pekee Yao au na mama yao then wape starter,vitamin na glucose mpk wakishabadilika manyoya ndo unaweza watoa nnje
Kwa mahitaj ya vifaranga vya bata bukin, mallard, jumbo perkin na khaki
Wanapatikana chanika kwa singa
Call 0746696878
View attachment 2198831
View attachment 2198832
View attachment 2198833
View attachment 2198834
View attachment 2198835
View attachment 2198836
View attachment 2198837
Hahahaa...jamaa kampa makavu.Mkuu mbona umemjia kwa ukali kama mwalimu wa sayansi kimu
40Bata wa kawaida anaatamia/analalia siku ngapi boss
Siku 28 kuku siku 21Bata wa kawaida anaatamia/analalia siku ngapi boss
Asante mkuuSiku 28 kuku siku 21
[emoji24]