Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
mkuu jaribu flagil
Tumia Loperamide tabs 4mg tds, pia tumia antibiotic kama erythromicin tabs kama huna ulcers, kama unazo tumia ciprofloxacin tabs for 5days antibiotic hizi ni muhimu sana coz hii loperamide itaconceive bacteria ndani hawa bacteria wasipotibiwa watakuletea septicemia. Najua nafanya makosa kuandika haya lakini coz ni emergency sina budi kuvunja ethics za udaktari wangu, naamini Mungu atanisamehe.
All the best, haya rusha na hela ya vocha sasa kwa Dr
Chemsha maji yenye chumvi kisha kunywa glass moja husaidia sana Mkuu. Pole sana Mkuu
tafuta pipe ya 2 inches connect to the toilet your s and continue with the meeting.
Chemsha maji yenye chumvi kisha kunywa glass moja husaidia sana Mkuu. Pole sana Mkuu
tafuta pipe ya 2 inches connect to the toilet your s and continue with the meeting.
hahahahaha!!!! tiba yako nimeipenda. mi nina tiba ila nayo imekaa kimzaha nashindwa hata kuitaja.
mbona hujamwambia kiasi cha chumvi?
Tumia Loperamide tabs 4mg tds, pia tumia antibiotic kama erythromicin tabs kama huna ulcers, kama unazo tumia ciprofloxacin tabs for 5days antibiotic hizi ni muhimu sana coz hii loperamide itaconceive bacteria ndani hawa bacteria wasipotibiwa watakuletea septicemia. Najua nafanya makosa kuandika haya lakini coz ni emergency sina budi kuvunja ethics za udaktari wangu, naamini Mungu atanisamehe.
All the best, haya rusha na hela ya vocha sasa kwa Dr
asante sana mkuu, ngoja nikasake kwenye maduka ya dawa,
huyu jamaa anataka kutatua tatizo in one/two hours wewe unampa solution ya wiki nzimatumia loperamide tabs 4mg tds, pia tumia antibiotic kama erythromicin tabs kama huna ulcers, kama unazo tumia ciprofloxacin tabs for 5days antibiotic hizi ni muhimu sana coz hii loperamide itaconceive bacteria ndani hawa bacteria wasipotibiwa watakuletea septicemia. Najua nafanya makosa kuandika haya lakini coz ni emergency sina budi kuvunja ethics za udaktari wangu, naamini mungu atanisamehe.
All the best, haya rusha na hela ya vocha sasa kwa dr