Msaada wa haraka, mama amebambikiwa kesi

we ----- nini? mtu ana matatizo we badu unauliza maswali ya ajabu..wangekuwa na wakili angeomba msaada wa kisheria hapa JF?
wewe msaada gani uliotoa? bora mimi nilieuliza kuhusu wakili, wewe ulichoandika hapa kitamfaha nini mtoa mada? fikiri kabla ya kuandika.
 
1. Amefunguliwa kesi ya aina gani? Jinai au madai

2. Kosa na kifungu cha sheria?
3. Kesi ipo mahakama gani-hii nauliza kwa sababu mahakama za mwanzo hawaingii mawakili
4. Naomba maelezo ya kosa'
Tuendelee kuanzia hapo
 
Ndio maana shinyanga maamuzi macho mekundu 🙂_@®||the akhera.uchawi fanyeni ibada utamrudia uchawi wake
 
wewe msaada gani uliotoa? bora mimi nilieuliza kuhusu wakili, wewe ulichoandika hapa kitamfaha nini mtoa mada? fikiri kabla ya kuandika.

bora we uliyeuliza?..kwa akili yako unaona kuuliza pointless questions ni kutoa msaada sio? fikiria kabla ya kuandika pumba
 
Labda niulize tu. Kama nyumba ziliuzwa kupitia mahakamani, na kipengele cha "mimi fulani nauza nyumba zangu kadhaa kwa fulani... kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu yoyote" kimekubaliwa na muhuri wa mahakama ukapita ukithibitishwa na wakili. Sasa hapo kesi ya nini.
 
bora we uliyeuliza?..kwa akili yako unaona kuuliza pointless questions ni kutoa msaada sio? fikiria kabla ya kuandika pumba
acha kiedemswede, swali hujaulizwa wewe, nini chakuwasha?:biggrin:
punguza stressssssssssssssssssssssssss.... sio unakurupuka na kudandia train kwa mbele, utakufa siku si zako.
 
acha kiedemswede, swali hujaulizwa wewe, nini chakuwasha?:biggrin:
punguza stressssssssssssssssssssssssss.... sio unakurupuka na kudandia train kwa mbele, utakufa siku si zako.

Kwa bahati nzuri (mbaya kwako) mi ni mpenzi wa reggae na country..kidoogo Blues na Old skul R&B......lakini for the sake of reference: hiyo mistari uliyoandiak iko kwenye wimbo gani wa taarabu?

Thanks
 
Hii sio assignment kweli? mbona mtoa mada hajamjibu huyo ngirimaji hapo juu?
 
Kwa bahati nzuri (mbaya kwako) mi ni mpenzi wa reggae na country..kidoogo Blues na Old skul R&B......lakini for the sake of reference: hiyo mistari uliyoandiak iko kwenye wimbo gani wa taarabu?

Thanks
Nani kakuuliza? na umejuaje kuwa taarabu uwa na maneno hayo? acha kujipendekeza... sihitaji kukufahamu... go to helllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll:wave::wave:
 
Nani kakuuliza? na umejuaje kuwa taarabu uwa na maneno hayo? acha kujipendekeza... sihitaji kukufahamu... go to helllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll:wave::wave:

your lack of identity means you dont even know who you are..huwezi kunifahamu wakati we mwenyewe hujielewi baby
 
poleni sana,naamini utapaya msaada hapa,hata kutpata Wakili atayejitolea kuwatetea......lkn mwisho wa yote haya mambo ya kimila YESU ndo jibu


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…