Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 286
Wana JF naomba msaada kwa anayemjua daktari mzuri wa magonjwa ya mifupa pamoja na presha anayepatikana hapa Dar es Salaam. Mama yangu amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya mifupa, kuvimba miguu pamoja na presha kwa kipindi kirefu sasa. Tumejaribu kwenda hospitali kadhaa mkoani Mbeya lakini hali yake haijaimarika kiasi cha kuridhisha.
Naomba kwa anayefahamu daktari mzuri katika eneo hili la mifupa na presha anisaidie contact ama maelezo ya wapi anapatikana ili niweze kumpeleka mgonjwa wangu.
Naomba kwa anayefahamu daktari mzuri katika eneo hili la mifupa na presha anisaidie contact ama maelezo ya wapi anapatikana ili niweze kumpeleka mgonjwa wangu.