Msaada wa haraka mashine yangu ya kupimia pressure imeharibika, wapi napata fundi?

Msaada wa haraka mashine yangu ya kupimia pressure imeharibika, wapi napata fundi?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjambo

Nipo maeneo ya Mbezi beach naombeni msaada kwa mujibu wa kichwa Cha habari.

Mashine yangu ya kidigitali ya kupimia mapigo ya moyo imeharibika Baada ya kudondoka chini na hivyo haisomeki vizuri.

Wapi napata fundi wa haraka na aliye mjuzi?

Nina mgonjwa nyumbani ambaye ni Mama mzazi

Aksante
 
Azima kwa mdau mwenzako wakati unaendelea na mchakato wa kutafuta fundi/kununua mashine nyingine ya kupimia hao wagonjwa wako.
 
Wadau hamjambo

Nipo maeneo ya Mbezi beach naombeni msaada kwa mujibu wa kichwa Cha habari.

Mashine yangu ya kidigitali ya kupimia mapigo ya moyo imeharibika Baada ya kudondoka chini na hivyo haisomeki vizuri.

Wapi napata fundi wa haraka na aliye mjuzi?

Nina mgonjwa nyumbani ambaye ni Mama mzazi

Aksante
Pamoja na comments za kukushauri ununue nyingine, nakushauri achana na digital maana huwa zinapotosha. Mashine nzuri ya kupima pressure ni ile ya kupampu kwa mikono (ya kizamani). Zipo madukani na ukifundishwa utaweza kuwa unampima mgonjwa mwenyewe
 
Pamoja na comments za kukushauri ununue nyingine, nakushauri achana na digital maana huwa zinapotosha. Mashine nzuri ya kupima pressure ni ile ya kupampu kwa mikono (ya kizamani). Zipo madukani na ukifundishwa utaweza kuwa unampima mgonjwa mwenyewe
Ova
 
Vijana wa biomedical engineering wapo ATC apo Kama upo arusha nenda kwenye vyuo vinavofundisha hiyo coz ila ungenunua nyingine tu mkuu
 
Pamoja na comments za kukushauri ununue nyingine, nakushauri achana na digital maana huwa zinapotosha. Mashine nzuri ya kupima pressure ni ile ya kupampu kwa mikono (ya kizamani). Zipo madukani na ukifundishwa utaweza kuwa unampima mgonjwa mwenyewe
sio simple kama unavyofikiriaaa
 
Back
Top Bottom