Ha ha ha, kwahiyo unamwambia kijana Segera inakuja!
Mtambuzi wewe hukuwahi kukopa tu-binti enzi hizo ndugu yangu!
Ndoa ya mkeka Ununio siyo utapeli, mbona hukwenda Keko!
Anyway, mleta mada msome Ngambo Ngali ameeleza vizuri.
Hiyo Printer thamani yake ni shilling ngapi?Mkuu,
Nashukuru sana. Nina Printer ni PIXMA iP4700 ni Photo, CD/DVD and Paper printer. Karibu mkuu.
Binafsi huwa nawachukia sana watu wanaokopa halafu ikifika wakati walioahidi kurejesha, hawarejeshi au kuanza kutafuta visingizio vya kutorejesha.Habari zenu Wakuu,
Kuna rafiki yangu alinikopa laki 3 tarehe 1 mwezi November mwaka huu, tukaandikishana na kutiliana saini mimi, yeye na rafiki mwingine kama mdhamini kwani ndiye aliyenitambulisha kwa huyu rafiki mkopeshaji, katika saini hizo mkopeshaji alinitaka nimrudhie laki nne na nusu tarehe 30 Novemba yaani jana, kwa bahati mbaya mpaka jana nimeshindwa kupata hiyo laki nne na nusu bali nimempelekea laki 2 amekataa anadai nimekiuka makubaliano na kuwa kama naendelea kuchelewesha mwezi mwingine nitakuja kulipa laki na nusu zaidi yaani sasa mpaka tarehe 31 Desemba nitatakiwa kulipa laki 6 lasivyo ananifunga.
Msaada wenu jamani nitamtokaje hakimu hapa? kwani ninauhakika mpaka muda huo sina uhakika kama nitakuwa nimepata.
Msaada wenu wa mawazo jamani.
Hiyo Printer thamani yake ni shilling ngapi?
Kumbe ukiuza hiyo Printer pesa za kumlipa huyo mdai wako zinatimia, sasa kwa nini upelekwe mahakamani wakati kimfaacho mtu chake?Ni laki 3 na nusu Mkuu. Karibu.
Kumbe ukiuza hiyo Printer pesa za kumlipa huyo mdai wako zinatimia, sasa kwa nini upelekwe mahakamani wakati kimfaacho mtu chake?