Msaada wa haraka plz: Nimemeza mfupa wa samaki umekaa kooni....

Uwiii duniani kuna mambo ! Yaani badala ya kwenda hospitali muda wote huo unakimbilia JF kutibiwa online ??
 
Imewahi kunikuta hata mm ila mm niliuacha mpk ukaoza ukatoka mwenyewe ila kama unataka utoke fasta kula mikate na v2 vigumu vya ngano kwa kushindilia mdomo mbna wenyewe unaachia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…