Msaada wa haraka plz: Nimemeza mfupa wa samaki umekaa kooni....

Msaada wa haraka plz: Nimemeza mfupa wa samaki umekaa kooni....

Uwiii duniani kuna mambo ! Yaani badala ya kwenda hospitali muda wote huo unakimbilia JF kutibiwa online ??
 
Imewahi kunikuta hata mm ila mm niliuacha mpk ukaoza ukatoka mwenyewe ila kama unataka utoke fasta kula mikate na v2 vigumu vya ngano kwa kushindilia mdomo mbna wenyewe unaachia tuu
 
Back
Top Bottom