Msaada wa haraka sana kuhusu namna ya kuomba kazi zilizotangazwa kwenye system

Rabbi asante

Member
Joined
Sep 11, 2020
Posts
22
Reaction score
21
Wana Jamii forums elimu heshima

Naomba msaada, ninapoingia kwenye hii system ya kuomba hizi ajira, nimekutana na changamoto zifuatazo na nimeshindwa kufanya chochote, email already exist Mara account already exist nimeshindwa kufanya chochote nisaidie jamani mwaka Jana niliomba lakini sikubahatisha

Asante
 
Ingia kwa kutumia username and password ulizotumia mwaka jana.
 
System gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…