Msaada wa haraka unahitajika

Kumbe spare zake nafuu hv, jamani tuache kuzihofia hizi gari. Na mimi nitainunua aiseeh, bei ya clutch plate inalingana na honda langu lol.
Yah sio bei nafuu nikabadili pressure plate pia nayo haikufika laki, maana nilivochange clutch plate gia zikawa haziingii fundi aka suggest ibadilishwe
 
Huko mtaani kwako hakuna fundi?au ulitaka tujue kuwa unayo gali? mbona mbona siku hizi kama baisikeli tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…