Msaada wa haraka unahitajika

Lugulu

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
482
Reaction score
175
Wajasiriamali habari za jpili? Nina vfaranga hapa shambani kwangu kama cku nne toka niwalete cha ajabu ni kila nkienda kuwacheki nakuta wamekuwa wanyonge na hivi sasa nmeshatupa vfaranga zaidi ya 15 toka nwalete... Nawapa joto la mkaa na chakula chao hakipungui ikiwemo maji... Jaman naombeni msaada wa mawazo yenu make nshaanza hata kuogopa kwingia bandan kwa kukuta vfo vingine...
 
Uliwapatia vitamin pamoja na glucose pindi ulipowaleta??? Chukua vifaranga 3 vilivyokufa peleka kwa wataalam wachunguze ujue nini shida, pili angalia chakula unachowapa chaweza kuwa chazo
Subili na wengine waje watoe maoni yao
 
Uliwapatia vitamin pamoja na glucose pindi ulipowaleta??? Chukua vifaranga 3 vilivyokufa peleka kwa wataalam wachunguze ujue nini shida, pili angalia chakula unachowapa chaweza kuwa chazo
Subili na wengine waje watoe maoni yao
Ahsante.
Nlipowaleta ckuwapatia hivyo make pale nlipowachukuwa walikuwa wameshapewa vitamin... Mpaka nmekata tamaa kabisa... Kupeleka kwa mtaalamu ni vzuri saana, ngoja nwahi...
 
Waliobaki wape vitamini na glucose
 
vitamin ni zoezi endelevu kwa wk ya kwanza na ukiwapa chanjo. Pia taja aina gani ya vifaranga? Unajitaidi kuzuia ubichi bandani, ungepata mtu mzoefu angekusaidia. Chakula gani unawapa?
 
vitamin ni zoezi endelevu kwa wk ya kwanza na ukiwapa chanjo. Pia taja aina gani ya vifaranga? Unajitaidi kuzuia ubichi bandani, ungepata mtu mzoefu angekusaidia. Chakula gani unawapa?

Ni vfaranga vya malawi, banda ni kavu all the time najitahidi, nawapa starter. Nmeagiza glucose na vtamini, nadhani kesho ntapata... Ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…