Msaada wa haraka unahitajitika!

Msaada wa haraka unahitajitika!

glamorama

Member
Joined
Jan 3, 2020
Posts
56
Reaction score
55
Natumai Ni wazima nyote humu jamvini.

Mwanzo gari yangu ilikuwa in heat sana na ikawa inavuja maji,fundi akabadilisha gasget na cylinder head.kuwasha gari ikawa inakataa,yani inakaribia kuwaka lakini inaishia kuunguruma tu.

Fundi akcheki pump ya mafuta na akasema inashida,akaweka ingine na kasema kikombe gani sijui huko lakini akabadilisha ila Bado ngom hai gain momentum.naamini humu Kuna wataaamu naomba msada wenu was maarifa
 
Natumai Ni wazima nyote humu jamvini.

Mwanzo gari yangu ilikuwa in heat sana na ikawa inavuja maji,fundi akabadilisha gasget na cylinder head.kuwasha gari ikawa inakataa,yani inakaribia kuwaka lakini inaishia kuunguruma tu.

Fundi akcheki pump ya mafuta na akasema inashida,akaweka ingine na kasema kikombe gani sijui huko lakini akabadilisha ila Bado ngom hai gain momentum.naamini humu Kuna wataaamu naomba msada wenu was maarifa
gari gani mkuu nissan au bmw?
 
Natumai Ni wazima nyote humu jamvini.

Mwanzo gari yangu ilikuwa in heat sana na ikawa inavuja maji,fundi akabadilisha gasget na cylinder head.kuwasha gari ikawa inakataa,yani inakaribia kuwaka lakini inaishia kuunguruma tu.

Fundi akcheki pump ya mafuta na akasema inashida,akaweka ingine na kasema kikombe gani sijui huko lakini akabadilisha ila Bado ngom hai gain momentum.naamini humu Kuna wataaamu naomba msada wenu was maarifa
Kwanza ungesema hio gari ni ipi yani make na model!
 
Achana na mafundi wa kubahatisha bahatisha peleka gari ikafanyiwe diagnosis, hayo maswala ya kukisia utajikuta unaua engene
 
Back
Top Bottom