Msaada wa haraka unahitajitika!

Msaada wa haraka unahitajitika!

Asante

Duh hio sina uzoefu nay

Noah
new model
mkuu tafuta bwana miraba, mimi last month nimechoma zaidi ya milioni hivi hivi kwa sababu mafala fulani wananinunulisha vitu ambavyo havina maana vimejaa kwenye buti la gari kumbe tatizo sio hilo. wale watu wa ilala wale mafundi wa ilala wallah Mungu anawaona wameninunulisha vitu vingi sana kisa fundi niliyekuwa nafanya naye kazi alifariki.
na bado gari haijatengamaa, nimekuja kuconnectiwa na fundi fulani hadi alicheka mzigo wa vitu nilivyo navyo kwenye gari.
 
Asante
Noah kipengele Sana zikianza kuchok

mkuu tafuta bwana miraba, mimi last month nimechoma zaidi ya milioni hivi hivi kwa sababu mafala fulani wananinunulisha vitu ambavyo havina maana vimejaa kwenye buti la gari kumbe tatizo sio hilo. wale watu wa ilala wale mafundi wa ilala wallah Mungu anawaona wameninunulisha vitu vingi sana kisa fundi niliyekuwa nafanya naye kazi alifariki.
na bado gari haijatengamaa, nimekuja kuconnectiwa na fundi fulani hadi alicheka mzigo wa vitu nilivyo navyo kwenye gari.
Nipo kijijini sana mkuu
 
Kwa uzoefu wangu harakaharaka jamaa amekosea KUSET TIMING, na mafundi wetu wengi wakishafungua engine wanashindwa kuset Timing wakati ni kitu simple sana.
 
Back
Top Bottom