Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hio sina uzoefu nayo mzeeNoah new model ya 2022
Mm sina ugomv na mtu mkuu labda kma watu ndio wanaugomvi na mimUsisahau ukumbuke mie ni To yeye na hatuongei vyema nawe🤒...Ila asante kwa ushauri🙏🙏🙏🙄
SawaMm sina ugomv na mtu mkuu labda kma watu ndio wanaugomvi na mim
Asante mkuu,Niko kijijinUko wapi?
Achana na hao mafundi wapiga ramli kwa sana, tafuta mtu mwenye diagnosis machine muanzie hapo.
Mcheki JituMirabaMinne
EmaSawa
mkuu tafuta bwana miraba, mimi last month nimechoma zaidi ya milioni hivi hivi kwa sababu mafala fulani wananinunulisha vitu ambavyo havina maana vimejaa kwenye buti la gari kumbe tatizo sio hilo. wale watu wa ilala wale mafundi wa ilala wallah Mungu anawaona wameninunulisha vitu vingi sana kisa fundi niliyekuwa nafanya naye kazi alifariki.Asante
Duh hio sina uzoefu nay
Noah
new model
Noah kipengele Sana zikianza kuchok
Nipo kijijini sana mkuumkuu tafuta bwana miraba, mimi last month nimechoma zaidi ya milioni hivi hivi kwa sababu mafala fulani wananinunulisha vitu ambavyo havina maana vimejaa kwenye buti la gari kumbe tatizo sio hilo. wale watu wa ilala wale mafundi wa ilala wallah Mungu anawaona wameninunulisha vitu vingi sana kisa fundi niliyekuwa nafanya naye kazi alifariki.
na bado gari haijatengamaa, nimekuja kuconnectiwa na fundi fulani hadi alicheka mzigo wa vitu nilivyo navyo kwenye gari.
Barikiwa,na kwako piaUwe na siku nj
Ema
Kijiji gani hiko ambako Huduma huwezi kuzifikia na Una noah huo ni uzembeAsante
Nipo kijijini sana mkuu
Nashindwa kuingia dm,nielekeze ili nimcheki huyu mkuuUko wapi?
Achana na hao mafundi wapiga ramli kwa sana, tafuta mtu mwenye diagnosis machine muanzie hapo.
Mcheki JituMirabaMinne
Kwenye nyuzi zake nyiingi huwa anaweka namba yake.Nashindwa kuingia dm,nielekeze ili nimcheki huyu mkuu