Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashukuru kwa kunikumbusha ila pia unaweza pitia kesi niliyoiweka MsomiMinimum Notice ni siku 30 counsel, andika polepole
Je unaweza kusaidia kunifahamisha kwamba eviction inapofanyika dalali anakamata vitu na KUKAA navyo ama anavipiga mnada?? Kwenye issue hii ya shemeji dalali alipakia vitu akapeleka kuhifadhi kwenye ghala yake na kuanza kucharge storage..akaombwa aachilie VYETI akagoma. Hakupiga mnada vitu mpaka akapatwa na mafuriko na Mali zikaharibika...angekuwa katoa vifaa akatupa nje vikaharibiwa ama vikaibiwa hapo sawa...lkn dalali alivichukua akapeleka store yake akaanza KUCHARGE storage...aliambiwa na nani? Ni sahihi?1. pale ambapo mkataba wa Upangishaji unapokwisha muda wake(Malipo)basi moja kwa moja mpangaji anapoteza haki ya yeye kuwa mpangaji katika jengo au nyumba husika na kwa mjibu wa sheria anachukuliwa kama Mvamizi(Trespasser),na akishapewa Notisi na Mwenye nyumba ya Kuhama au kuhlipa kodi katika muda aliojulishwa basi Mwenye Nyumba anayohaki ya kutumia njia yeyote ile ya kumtoa katika nyumba yake ikiwemo kutumia madalali(Court Brokers) au kufungua kesi katika Baraza la Ardhi dhidi ya mwamizi(Trespasser) ambaye alikuwa mpangaji wake,kwa sababu mpangaji alishindwa kuhama mwenye kwa hiara yake hivyo kumfanya mwenye nyumba kulazimika kutumia nguvu kumtoa.
2.Mtu yeyote ampaye alipata madhara ya eviction kwa namna yoyote ile hana haki ya kisheria ya kupata fidia yoyote kutoka kwa aliyekuwa mwenye nyumba yake wala kwa Court broker kwani Mvamizi/Trespasser,sabbu ya hivyo ni kuwa sheria umempa kila mtu haki ya kutumia na kudarhia mali yake pasipo kuingiliwa au kuadhiriwa na mtu yeyote na katika kuhakikisha haki hiyo haivunjwi na yeyote basi anaweza kutumia namna sahihi za kuzuia uvunjifu wa yeye kutumia haki yake,pamoja na hayo katika sheria kuna kanuni ambayo inasema that no person should be allowed to benefit from his own wrong -"Nullus Commodum Capere Protect De Injuria Sua Propria."
Na je ni muhimu kupewa notice? Shemeji yangu alipewa notice ya 14 days, ahame. Ni sawa?1. pale ambapo mkataba wa Upangishaji unapokwisha muda wake(Malipo)basi moja kwa moja mpangaji anapoteza haki ya yeye kuwa mpangaji katika jengo au nyumba husika na kwa mjibu wa sheria anachukuliwa kama Mvamizi(Trespasser),na akishapewa Notisi na Mwenye nyumba ya Kuhama au kuhlipa kodi katika muda aliojulishwa basi Mwenye Nyumba anayohaki ya kutumia njia yeyote ile ya kumtoa katika nyumba yake ikiwemo kutumia madalali(Court Brokers) au kufungua kesi katika Baraza la Ardhi dhidi ya mwamizi(Trespasser) ambaye alikuwa mpangaji wake,kwa sababu mpangaji alishindwa kuhama mwenye kwa hiara yake hivyo kumfanya mwenye nyumba kulazimika kutumia nguvu kumtoa.
2.Mtu yeyote ampaye alipata madhara ya eviction kwa namna yoyote ile hana haki ya kisheria ya kupata fidia yoyote kutoka kwa aliyekuwa mwenye nyumba yake wala kwa Court broker kwani Mvamizi/Trespasser,sabbu ya hivyo ni kuwa sheria umempa kila mtu haki ya kutumia na kudarhia mali yake pasipo kuingiliwa au kuadhiriwa na mtu yeyote na katika kuhakikisha haki hiyo haivunjwi na yeyote basi anaweza kutumia namna sahihi za kuzuia uvunjifu wa yeye kutumia haki yake,pamoja na hayo katika sheria kuna kanuni ambayo inasema that no person should be allowed to benefit from his own wrong -"Nullus Commodum Capere Protect De Injuria Sua Propria."
Mimi nilidhani eviction wangetoa vitu nje, hata vingeharibika ningemwambia shemeji kosa ni lako... Lakini majembe wamevitoa, wakavishikilia Ili wapige mnada Kodi ilipwe.. shemeji ameomba APEWE VYETI na nguo na documents muhimu, majembe wamegoma wanataka awalipe storage ya 400,000/ kwa siku. BAADAE kaenda Tena yupo TAYAR alipe hiyo storage wao ghala lao wanasema limepata mafuriko...kwani SI Wana bima?? Nani aliwaomba wahifadhi hivyo vitu... Na kwanini hawakupiga basi mnada wamekaa na vitu zaidi ya mwaka??pengine wakati wanachukua vitu vya shemeji yako isingekuwa rahisi kufahamu ndani yake kuna vyeti au madaftari ya shule,ila kwa namna yoyote ile zoezi la kuchukua vitu halikufanyika kwa haki au usawa kama ulivoeleza hapo awali.
Poleni Sana kwa changamoto,naomba kukujibu kesho kwa umakini zaidiMimi nilidhani eviction wangetoa vitu nje, hata vingeharibika ningemwambia shemeji kosa ni lako... Lakini majembe wamevitoa, wakavishikilia Ili wapige mnada Kodi ilipwe.. shemeji ameomba APEWE VYETI na nguo na documents muhimu, majembe wamegoma wanataka awalipe storage ya 400,000/ kwa siku. BAADAE kaenda Tena yupo TAYAR alipe hiyo storage wao ghala lao wanasema limepata mafuriko...kwani SI Wana bima?? Nani aliwaomba wahifadhi hivyo vitu... Na kwanini hawakupiga basi mnada wamekaa na vitu zaidi ya mwaka??
Asante. Tutasubiri keshoPoleni Sana kwa changamoto,naomba kukujibu kesho kwa umakini zaidi
Yes, ni kweli.Minimum Notice ni siku 30 counsel, andika polepole
Mkataba wowote ule ambao una vifungu vinavyopingana na Sheria za nchi ni Batili.Rudi kwenye mkataba wake kwanza
Sasa hapo wanasema kwamba mtu kama hajalipa Kodi anahesabia ni trespasser, hivyo ni mpangaji haramu hafai kupewa notice...nimeogopa sana.Yes, ni kweli.
Reasonable time for a legal eviction order is minimum of 30 days, not 14 days.
msomi kuna case nime attach hapo awali ukipata muda naomba upitia uone maamuzi ya CATYes, ni kweli.
Reasonable time for a legal eviction order is minimum of 30 days, not 14 days.
sina Experience sana na practise inayofanyika na Brokers ila ambacho naweza kusema ni kwa muhiska kufika ofisini kwao kuomba mchanganuo wa gharama husika ilikuweza kujua namna ya kuendelea mbele zaidiCha pili, auctioneer anapopewa order ya kufanya eviction hapo hapo anaruhusiwa kumkamata vifaa vya mteja na kuviweka ghalan kwake Huku akidai alipwe storage charges?