Msaada wa Haraka wa Kisheria nimesimamishwa Kazi Kesi J3

Sasa swali mbona wanakataa kumchukua MTU mwingine ambaye c mfanyakazi je haki kisheria????? Ndo hapo nataka kujua pia
 
Muombe mungu akusaidie.pia upate mwanasheria mbobez ambaye anaweza kucheza na vifungu na kingine usije jaribu kufanya kazi za idara ambayo si yako.ndo maana kuna maafisa habari na maafisa utumishi. Au wasemaji wa kampuni.
Mwisho unapoamua kuweka mambo ya watu hadharani hasa kwenye media unajiandalia fidia au vifungo au vyote kwa pamoja hivyo pima jambo kabla hujaamua na ujiandae kwa matokeo
Yaan kwenye mikataba yote ya wafanyakazi,,,hawajaweka hicho kipengere kabsa,,,,kuna sheria za kawaida kabsa
 
Hivi nyie hamjamuelewa mchungaji apo huyo MTU anaezungumziwa hapa ni yeye mwenyewe na kimbelembele chako cha kuletaga hapa huku habari za huko kilombero sasa utanyooka wewe unajipa kazi za upr sio?
Hapa bana wachungaji hatukoseagi,,,,,,,,ni jiran yangu,,,,na kesi ndo SAA tatu hii
 
Kweli kabsaa mkuu,,,,,,na hii ndo faida ya jukwaa hili
Hahaha mchungaji umekuwa mpole hata type mrejesho kesi imeendaje na yule hakimu wenu mhh, hivi yupo yule mzee wa kipare binge hivi?
 
Wadau ni hoja nzuri na inatokea mara nyingi sehemu kazi. Lets focus kwenye yafuatayo kwenye hili. Mtoa hoja anasema alipost tangazo ambalo tayari kampuni ilishalitangaza kwenye mbao za matangazo kwa hiyo was not company confidential au any employee confidential. Alichokifanya yeye ni kuarifu wengine wasiokuwa na taarifa kwa njia ya haraka zaidi weather wasup, Facebook groups etc bila kubadilisha au kupotosha tangazo ambalo lilibandikwa kwenye mbao za matangazo. Ebu wataalamu wa sheria na PR mtusaidie na wengine . Thanks Mleta mada
 
Je kuwaarifu wengine juu tangazo ambalo mwajiri amesha litoa kwenye mbao za matangazo ni kosa? Je kuna madhara kwa yeye kuwaarifu tangazo niko? Je tangazo lilikuwa halali kwa maana ndilo halisi lilotolewa na uongozi? Je kwa mujibu tangazo mamlaka au taasisi au ofisi nyingine nje ya kampuni walikopiwa. Kama ndivyo tangazo hilo liligongwa muhuri siri? Sioni kesi hapo
 
Let the law make this clear

Sheria inasema hivi, (naamini unaelewa kiingereza)

It shall not be a fair reason to terminate the employment of an
employee-
(a) for the reason that-

(i) discloses information that the employee is entitled or required to disclose to another person under this Act or any other law

kuhusu mashahidi itategemea na huo ushahidi unaoenda kutolewa, labda mashahidi wa kuthibitisha kuwa hiyo taarifa aliyoisambaza FB ni ya kweli na haikuwa siri.

Rejea kifungu cha 37(3)(a)i cha sheria ya kazi na Mahusiano kazini, nimeambatanisha
 

Attachments

nimesikitika kuwa kesi ilikuwa jumatatu, coz nlikuwa sijatembelea huku muda kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…