EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kesi imeisha mfate pm mjulishe chapManing Nice ya Mtwara (T896DUY) ndio imeingia muda huu hapa Magufuli Terminal ikitoka Moro, aje apande ashukie Mnazi Mmoja pale atapata basi za Masasi, au asubiri Tashriff ya Tanga - Masasi inaingia sio muda mrefu
Kama nimemuelewa vizuri lakini,anachokwepa yeye ni huo mzumguko wa panda shuka panda shuka kutokana na nauli yenyewe ni dusko yeye anataka chuma ya moja kwa moja from Dar to Nachingwea.Maning Nice ya Mtwara (T896DUY) ndio imeingia muda huu hapa Magufuli Terminal ikitoka Moro, aje apande ashukie Mnazi Mmoja pale atapata basi za Masasi, au asubiri Tashriff ya Tanga - Masasi inaingia sio muda mrefu
Acha zako boss yaani na mitandao hii kumuongezea hata 20alf akapambana akawahi, eti nauli haitotimia!? ...unazingua.!!Gari nyingi za kuja nachingwea au masasi kwa kutokea mbezi ( stend ya magu hua ni za alfajiri 12) . Ila kwa kijichi na mwandege mda huh bado sana changamoto iliopo ni kua 40k akisema atoke apo aende mbagla plus mizigo alionayo meanz kua 38k ya nauli haitotimia na ndio mana nikaona niangalie msaada around au aanzie safari hapo kwani namjua kichwa maji mizunguko hio alone hatoboi na pia kwa wanaosema kusini gari ni nyingi ila ni Mkoa wa mtwara sasa mtu akipata gari ya mtwara now ni kua lazima ashuke mnazi mmoja ambako kuna kilmita zaidi ya 150 au zaidi sina uhakika kuifikia nachingwea.
Hakuelewa kaka ndio mana ila fine shughuli imeishaKama nimemuelewa vizuri lakini,anachokwepa yeye ni huo mzumguko wa panda shuka panda shuka kutokana na nauli yenyewe ni dusko yeye anataka chuma ya moja kwa moja from Dar to Nachingwea.
Labda mleta mada uje umsome mdau hapa kama utamuelewa.
Unaweza iona 20k kubwa kwako kozi unayo ila mie nimeamka na elfu tatuAcha zako boss yaani na mitandao hii kumuongezea hata 20alf akapambana akawahi, eti nauli haitotimia!? ...unazingua.!!