Msaada wa haraka wadau

AUDITOR OF MAFISADI

Senior Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
106
Reaction score
34
Ni sheria na kifungu gani kinachosema mkishaoana mke apate transfer kwenda kwa mumewe

mnisaidie wakuu.
 
Hakipo ndg! Labda uombe tu kwa misingi ya ustaw wa familia!
 
Kidesturi sio kuoana bali mume kuoa mke na hivyo kumfanya yule aliyeolewa kuhamia kwa mume!
Lakini kama wewe uko tayari kuolewa na mke basi hakuna shida ukihamia kwake!
Kumbuka kawaida ni kama sheria!

[QUOTE=AUDITOR OF MAFISADI;4986817]Ni sheria na kifungu gani kinachosema mkishaoana mke apate transfer kwenda kwa mumewe

mnisaidie wakuu.[/QUOTE
]
 


wewe=bogas+ujuha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…