da na mimi inanisumbua sehemu ya choice ya mwisho.nina cut point 8 na nimeaply mzumbe,udsm,udom,muccobs imeandka yes lakn chaguo la mwisho kila nkiweka koz yeyote inaandka no,tena za vyuo vyenye cut point 2,sasa mbna ud imeandka yes kwa accounts lakn chuo cha ruaha univ inakataa ,nimewapigia wamesema nijarb kuchagua na ku log out lakn wap