Naomba mwenye busara na huruma anisaidie,nimechagua vyuo vikuu v3 then vingine nikamalizia bt cha kushangaza nilivyoongeza mpaka sasa havpo,vinaonekana vyuo vitatu2 UDOM,UDSM§DUCE.Vp hapo haina madhara yeyote??Mungu awabariki natanguliza shukran kwa mwenye mawazo mazur!