Nawasalimu ndugu zangu.
Samahani kwa usumbufu, kaka yangu alipata ajali mbaya sana ya pikipiki akiwa kwenye mizunguko yake.
Aliumia hasa, akapelekwa Taasisi ya MOI, ndugu tumepeleka hela nyingi tuzizochanga familia yetu ni duni sana zimeisha kwenye vipimo, sasa tangu Ijumaa amegundulika anashida kwenye UTI wa mgongo inahitajika milioni moja na laki sita kwa ajili ya operation.
Familia tumejichanga imefika laki tatu Tu... Na tumekopa na kukopa hadi kufikia hapo.
Sasa wamesema hawawezi kumtibu hadi pesa ilipwe hata nusu na tukiendelea kuchelewa ataoza.
Nisaidieni ni wapi wanaweza kutupa msaada yupo MOI 🥲🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
MOI YATOA UFAFANUZI
Kujua walichojibu MOI, bofya hapa ~ Baada ya Mdau wa JF kuomba msaada Mgonjwa wake afanyiwe upasuaji, MOI yatoa ufafanuzi na maelekezo
Samahani kwa usumbufu, kaka yangu alipata ajali mbaya sana ya pikipiki akiwa kwenye mizunguko yake.
Aliumia hasa, akapelekwa Taasisi ya MOI, ndugu tumepeleka hela nyingi tuzizochanga familia yetu ni duni sana zimeisha kwenye vipimo, sasa tangu Ijumaa amegundulika anashida kwenye UTI wa mgongo inahitajika milioni moja na laki sita kwa ajili ya operation.
Familia tumejichanga imefika laki tatu Tu... Na tumekopa na kukopa hadi kufikia hapo.
Sasa wamesema hawawezi kumtibu hadi pesa ilipwe hata nusu na tukiendelea kuchelewa ataoza.
Nisaidieni ni wapi wanaweza kutupa msaada yupo MOI 🥲🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
MOI YATOA UFAFANUZI
Kujua walichojibu MOI, bofya hapa ~ Baada ya Mdau wa JF kuomba msaada Mgonjwa wake afanyiwe upasuaji, MOI yatoa ufafanuzi na maelekezo