Msaada wa haraka wapendwa, mgonjwa wangu anahitaji Upasuaji MOI na familia haina fedha

Msaada wa haraka wapendwa, mgonjwa wangu anahitaji Upasuaji MOI na familia haina fedha

Status
Not open for further replies.
Mkuu Kama mna shamba tafuta MTU awape hela nyie mumpatie shamba

Endapo mgonjwa akipona mtamlipa hela yake.

Pia Chukua document zake zote na picha yake na ushahidi uende clouds FM uonane na Team njia panda ili watz wamchngie

Tatu weka hapa ushahidi JF wenye nia ya kutoa watatoa chochote kitu

Nne hiyo pikipiki iuzeni maana haina maana Kwa muda huu hata Kama ni ya mkopo iuzeni muhimu Afya

Tano Uzeni Asset za mgonjwa Kama zipo

Sita ongea na ustawi wa jamii wampatie msamaha hapo moi

Saba Msiache kumuombea
 
Kuna wa mama wanapitaga kutoa Chakula kwa Wagonjwa Ni wamama wa Kiislam. Hao watapo pita ongea na mmoja akufikishie swala lako kwa moja ya watu wanaowafahamu wawalipie hata robo bili inayotakiwa wanaeza kukusaidia.

Huwa wana tamaduni za kupelekea bili baadhi ya matajiri wengi wa kariakoo ambao ni Waislam na wanazilipia.. KWENYE SWALA LA UTU WAISLAM WANAJITAHIDI SANA KUSAIDIA WATU MAHOSPITALI
Asante sana ndugu yanguu nafanyia kazi ushauri wako.
 
Mkuu Kama mna shamba tafuta MTU awape hela nyie mumpatie shamba

Endapo mgonjwa akipona mtamlipa hela yake.

Pia Chukua document zake zote na picha yake na ushahidi uende clouds FM uonane na Team njia panda ili watz wamchngie

Tatu weka hapa ushahidi JF wenye nia ya kutoa watatoa chochote kitu

Nne hiyo pikipiki iuzeni maana haina maana Kwa muda huu hata Kama ni ya mkopo iuzeni muhimu Afya

Tano Uzeni Asset za mgonjwa Kama zipo

Sita ongea na ustawi wa jamii wampatie msamaha hapo moi

Saba Msiache kumuombea
Kaka asante sana... Kwa ushauri mzuri... Pikipiki ilikua ya mkopo .. pia wazazi walifariki wadogo atukuachiwa ata mashamba na yeye bado kijana alikua ndo anajitafuta apate chochote kitu.. ila menginenafanyia ushauri asante ndugu zangu🙏🙏🙏
 
Kaka asante sana... Kwa ushauri mzuri... Pikipiki ilikua ya mkopo .. pia wazazi walifariki wadogo atukuachiwa ata mashamba na yeye bado kijana alikua ndo anajitafuta apate chochote kitu.. ila menginenafanyia ushauri asante ndugu zangu🙏🙏🙏
Pikipiki ya mkopo zile za makampuni Hadi umalize ndo unapewa document Kaka.
 
Kaka asante sana... Kwa ushauri mzuri... Pikipiki ilikua ya mkopo .. pia wazazi walifariki wadogo atukuachiwa ata mashamba na yeye bado kijana alikua ndo anajitafuta apate chochote kitu.. ila menginenafanyia ushauri asante ndugu zangu🙏🙏🙏
Nimepokea I receive naamini utapata Pa kuanzia na mgonjwa atapona inshallah 🙏🏽
 
Nawasalimu ndugu zangu. Samahani kwa usumbufu , Kaka yangu alipata ajali mbaya sana ya pikipiki akiwa kwenye miangaiko yake... Aliumia aswa akapelekwa moi ndugu tumepeleka ela nyingi tuzizochanga familia yetu ni duni sana zimeisha kwenye vipimo, sasa tangu ijumaa amegundulika anashida kwenye UTI wa mgongo inaitajika milioni moja na laki sita kwa ajili ya operation ... Familia tumejichanga imefika laki tatu Tu... Na tumekopa na kukopa Hadi kufikia hapo .... Sasa wamesema awawezi kumtibu Hadi pesa ilipwe ata nusu na tukiendelea kuchelewa atahoza. Nisaidieni ni wapi wanaweza kutupa msaada yupo moi 🥲🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Bodaboda huwa wanaona Barabara zote zao na wao pekee ndo wana haki ya kutumia, wanaendesha pikipiki utadhani wamewekewa vyuma mwilini vya kuwazuia wasivunjije viungo.
 
Nawasalimu ndugu zangu. Samahani kwa usumbufu , Kaka yangu alipata ajali mbaya sana ya pikipiki akiwa kwenye miangaiko yake... Aliumia aswa akapelekwa moi ndugu tumepeleka ela nyingi tuzizochanga familia yetu ni duni sana zimeisha kwenye vipimo, sasa tangu ijumaa amegundulika anashida kwenye UTI wa mgongo inaitajika milioni moja na laki sita kwa ajili ya operation ... Familia tumejichanga imefika laki tatu Tu... Na tumekopa na kukopa Hadi kufikia hapo .... Sasa wamesema awawezi kumtibu Hadi pesa ilipwe ata nusu na tukiendelea kuchelewa atahoza. Nisaidieni ni wapi wanaweza kutupa msaada yupo moi 🥲🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Weka number ya mchango hapa. Kuna watu wako tayari kuchangia lakini hawawezi kuandika chochote hapa
 
Mtafute ndugu Godlisten Malisa ana platform kubwa na ushawishi mkubwa kwa jamii endapo atpokea ombi lako mawwza pata msaada huo ndani ya masaa tu
Kuna wanaomuona Malisa ni tatizo wanatumia nguvu nyingi Sana kumnyamazisha, Tena Ni watu wenye elimu nzuri tu.
Ukiwaomba wachangie hapa hata Mia hawatatoa.
 
Pole,sana, nenda kwenye ofic ya mkuu wa mkoa au mmbunge kuna mfuko wa kuwasaidia watu, ukijieleza vizuli unaweza dhaminiwa hospitall au unaweza lipiwa ,


Lkn andika usi mwingine uweke vielezo na namba unaweza changiwa hapa
 
Pole,sana, nenda kwenye ofic ya mkuu wa mkoa au mmbunge kuna mfuko wa kuwasaidia watu, ukijieleza vizuli unaweza dhaminiwa hospitall au unaweza lipiwa ,


Lkn andika usi mwingine uweke vielezo na namba unaweza changiwa hapa
Asante sana ndugu nitafanya ivyo
 
Kuna wa mama wanapitaga kutoa Chakula kwa Wagonjwa Ni wamama wa Kiislam. Hao watapo pita ongea na mmoja akufikishie swala lako kwa moja ya watu wanaowafahamu wawalipie hata robo bili inayotakiwa wanaeza kukusaidia.

Huwa wana tamaduni za kupelekea bili baadhi ya matajiri wengi wa kariakoo ambao ni Waislam na wanazilipia.. KWENYE SWALA LA UTU WAISLAM WANAJITAHIDI SANA KUSAIDIA WATU MAHOSPITALI
Hii ni kweli,nimeona mahospital mengi makubwa,pia wana umoja ubaotwa Jai,hawa wana mpaka Ambulance,na wanasaidia wagonjwa,na pia zinachangwa pesa misikitini kwa ajili ya wagonjwa,bila kujali dini ya mgonjwa.
 
Hii ni kweli,nimeona mahospital mengi makubwa,pia wana umoja ubaotwa Jai,hawa wana mpaka Ambulance,na wanasaidia wagonjwa,na pia zinachangwa pesa misikitini kwa ajili ya wagonjwa,bila kujali dini ya mgonjwa.
🙏
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom