themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Nipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole chief,Kama ni piston 3 imeisha hiyo vuta Hadi Moro pima head Kama ipo sawa funga gasket ya karatasi vinginevyo utaikaanga yote.Nipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
Umemsoma Rusumo one ?Nipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
Angalia kama fan inapuliza sehemu sahihi. Isijekuwa imegeuzwa nyaya ikawa inapuliza njeNipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
Coolant........Nipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
SwaIst haina tofauti na last born kitakua kimenuna
Yes aiondoe hii harakaHiyo itakuwa thermostat imekufa or water pump imekuwa weak..!!
Acheki thermostat na aiondoePole chief,Kama ni piston 3 imeisha hiyo vuta Hadi Moro pima head Kama ipo sawa funga gasket ya karatasi vinginevyo utaikaanga yote.
Pole, mimi namiliki vieitee ningekupa ushauriNipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
Dogo ushavimbiwa na pilau.Umemsoma Rusumo one ?