Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 804
- 2,131
Binti ana umri gani??
Bibi yake tayari anajua??
Matumizi yake anapata wapi??
Mtoto atamlea vipi??
Hayo yote ni maswali ambayo anatakiwa ayajibu ili tujue hali yake ilivyo!!
Unachotakiwa kumshauri sio tu atoe au asitoee ila namna ya kuhakikisha ataweza kumlea mtoto/mtoto wake ataweza kulelewa vizuri (msaada wa ndugu na marafiki..watu wengine wa nje).
naunga mkono hoja!Binti ana umri gani??Bibi yake tayari anajua??Matumizi yake anapata wapi??Mtoto atamlea vipi??Hayo yote ni maswali ambayo anatakiwa ayajibu ili tujue hali yake ilivyo!!Unachotakiwa kumshauri sio tu atoe au asitoee ila namna ya kuhakikisha ataweza kumlea mtoto/mtoto wake ataweza kulelewa vizuri (msaada wa ndugu na marafiki..watu wengine wa nje).