ContentCreator
Senior Member
- Sep 2, 2020
- 151
- 231
- Thread starter
-
- #21
Shida nina contract 3 za clients, moja na ambayo inanilipa mkwanja mrefu inatakiwa atakayekuja kuzifanya awe na access ya account yangu moja kwa moja yaani awe na login credentials. Mimi sitaki kushare login credentials kwenye account ambayo inaendesha maisha yangu. Hizo zingine contract mbili hazina shida kwa sababu naweza kumuachia mtu afanye then nikamlipaBila shaka unafanya kazi za online. Tafuta mtu umfunze awe anafanya we unafanya kumlipa mshahara wakati ukiendelea na masomo. Note, usimwambie unapata kiasi gani ataingia tamaa
Upo sahihiBila shaka unafanya kazi za online. Tafuta mtu umfunze awe anafanya we unafanya kumlipa mshahara wakati ukiendelea na masomo. Note, usimwambie unapata kiasi gani ataingia tamaa
Okay, ushauri wako ni upi mkuu?Kama kwel umeshindwa decide katya hayo mawil hiv kwel ndugu hata hyo degree ya law uliipataje?
Freelancing mkuuMuhimu Jenga uchumi. Law school ni fifty fifty kuchomoka au kufeli. Nauzuri ipogo tuu Kila mwaka.
huwezi kuwa na muda wakufanya issue zako vilivyo. Coz ratiba ya pale ni tight morning to evening unasaini by finger print unapoingia na unapotoka. So kwangu Mimi muhimu kujenga uchumi kwanza.
MWISHO: TUSHARE HIO ISSUE YAKUFANYA KAZI ONLINE MKUU IF POSSIBLE
Tumia desktop client yani anayefanya awe na access na computer yako iwe kama anafanya kutoka kwenye computer yako so hutakuwa umeshare credential zako.Shida client contract 3 Moja na ambayo inanilipa mkwanja mrefu inatakiwa atakuja kuzifanya awe na access ya account yangu moja kwa moja yaani awe na login credentials. Mimi sitaki kushare login credentials kwenye account ambayo inaendesha maisha yangu. Hizo zingine contract mbili hazina shida kwa sababu naweza kumuachia mtu afanye then nikamlipa
Freelance ni nn mkuuFreelancing mkuu
Bila shaka unamzungumzia Anydesk au Team Viewer, kutumia hizo tools natakiwa pia niwe nimewasha PC yangu ili aweze kupata access ya kile kinachoonekana kwenye PC yangu, Sasa hapo unaona ugumu uliopoTumia desktop client yani anayefanya awe na access na computer yako iwe kama anafanya kutoka kwenye computer yako so hutakuwa umeshare credential zako.
Freelancing inahitaji muda na client hawataki excuse all they want to see ni kazi inaenda
Yes sion ugumu mkuu maana utakachomwachia tu ni hyo account anayofanyia kazi account nyingine zote utasignout. Kama una mafile ya muhimu utayapiga kwenye folder lenye password ili asiwe ya access. Halafu unaiacha pc online unampa access nayo aweze kufanya kazi remotely via account.Bila shaka unamzungumzia Anydesk au Team Viewer, kutumia hizo tools natakiwa pia niwe nimewasha PC yangu ili aweze kupata access ya kile kinachoonekana kwenye PC yangu, Sasa hapo unaona ugumu uliopo
Personal discipline nidhamu ndio Cha msingi Ili uendelee kihudhuria darasani na kufanya kazi usikuLengo niongeze vyanzo vya mapato. Lakini kazi zangu zinazoniingizia Milioni 1 kwa mwaka nafanyia kwenye computer na simu sasa hapa nawaza nitabalance vipi kazi hiyo na law school make hiyo kazi ndo inayoniingizia hiyo hela.