Msaada wa haraka

Manmud

Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
67
Reaction score
8
Habari zenu wana wa jf...nahitaji kujua mtu mwenye bachelor degree ya NTA level 6 na mtu wenye bachelor degree ya NTA level 8 ni yupi kati yao anaweza kusoma masters kwa haraka zaidi?..au ni sifa zipi zinazomruhusu mtu kwenda kusoma masters?. Mwenye kufahamu na kujua naomba anijuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…