jamani naomba msaada hapa wa mambo machache
1. law reports naweza kuzipata wapi na kwa bei gani. namaanisha Tanzania Law reports zote. hasa bei yake na mahali zilipo. chap kidogo
2. legal documents za hapa tanzania mf. acts mbalimbali, most recent editions, nazipataje na kwa bei gani. nimezunguka bookshiops hapa sijazipata.
3. atakaeweza kunisupply hizo na nyinginezo aje pm ila malipo ni baada ya kuvifikisha hapa nilipo ama ukivituma, nikishavipokea nitalipia gharama zote na za usafiri zikiwemo, not otherwise. lets mke a deal
1. law reports naweza kuzipata wapi na kwa bei gani. namaanisha Tanzania Law reports zote. hasa bei yake na mahali zilipo. chap kidogo
2. legal documents za hapa tanzania mf. acts mbalimbali, most recent editions, nazipataje na kwa bei gani. nimezunguka bookshiops hapa sijazipata.
3. atakaeweza kunisupply hizo na nyinginezo aje pm ila malipo ni baada ya kuvifikisha hapa nilipo ama ukivituma, nikishavipokea nitalipia gharama zote na za usafiri zikiwemo, not otherwise. lets mke a deal