Msaada wa hii alert katika Land Rover discovery 3

Msaada wa hii alert katika Land Rover discovery 3

Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.

Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.

Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika Gari.
Naombeni msaada wakuu.
Hii Taa ni kushoto nilipochora hapo ina blink red

View attachment 2630396

Hili ni dungu la Lukosi?
 
Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.

Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.

Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika Gari.
Naombeni msaada wakuu.
Hii Taa ni kushoto nilipochora hapo ina blink red

View attachment 2630396
Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.
 
Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.

Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.

Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika Gari.
Naombeni msaada wakuu.
Hii Taa ni kushoto nilipochora hapo ina blink red

View attachment 2630396
Ni security reader hiyo Mkuu..
Nimepata pia kuiona kwenye Nissan Xtrail..
Haina madhara.
 
[emoji3] imebidi nitoke nikachukue video na nimpaki tangu mchana!
BTW way hongera sana mzee umepata kitu cha ukweli sana! Ila zingatia sana report ya dashboard kila unapowasha asubuhi.. Na usiwashe na kuondoka subiri usome report yote na silencer ishuke
Kingine ni kuzingatia service.. Tumia certified na recommend lubricants tuu na spare pia.. Vilevile am sure y'all ni ya diesel, usijaze mafuta nje ya vituo ya Total, puma na Engen.. Hao wengine ni try n error.. Mafuta yao si hakika sana
Subiri ikonge km 150k ndio atajua hajui
 
Discovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Kwenye gearbox maranyingi kinachosumbua ni transfer case! Usiwapelekee mafundi wasiozijua, fanya diagnosis kwa mtu anayejua vema kusoma codes .. Transfer case haina mbadala zaidi ya kuibadili
 
Kwenye gearbox maranyingi kinachosumbua ni transfer case! Usiwapelekee mafundi wasiozijua, fanya diagnosis kwa mtu anayejua vema kusoma codes .. Transfer case haina mbadala zaidi ya kuibadili
Usisahau kumwambia kuwa hiyo transfer case si chini ya 5M kuinunua hapo Bado usafiri na kodi.

Kwa ufupi hiyo ikibuna Lazima aaandae 9M+ kuifix.
 
Discovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Siyo kweli, mimi nna discovery mwaka wa 9 huu, ina miles 120,000 hiyo ni zaidi ya KM 190,000 na inadunda kama mpya.

Ni matunzo tu, weka oils na filters za viwango vinavyokubalika.
 
Kuna mjuaji mmoja kaandika hivi[emoji1541]

Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.!

Nimecheka mpaka nikakaa chini[emoji23]
Wewe na magari wapi wapi? Unafikiri gari zina longolongo za uchawi unazowadanganya wajinga wenzio humu?

Jifunze kutumia chatgpt utayakuta hayo majibu niliyotowa humu,

Huwa sikisii.
 
Back
Top Bottom