Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.
Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.
Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika Gari.
Naombeni msaada wakuu.
Hii Taa ni kushoto nilipochora hapo ina blink red
View attachment 2630396
[emoji818][emoji817]Thanks mkuu
Uzuri dashboard inaongea
Ni diesel
Now Nilikuwa natumia puma tu
Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.
Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.
Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika Gari.
Naombeni msaada wakuu.
Hii Taa ni kushoto nilipochora hapo ina blink red
View attachment 2630396
Ni security reader hiyo Mkuu..Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.
Nimeigundua leo ina blink red nikiwa ndani na hata nikifunga mlango na ku lock Gari.
Sijajua ni shida gani imetokea sababu haikuwahi kutokea na sijafanya kitu tofauti katika Gari.
Naombeni msaada wakuu.
Hii Taa ni kushoto nilipochora hapo ina blink red
View attachment 2630396
Subiri ikonge km 150k ndio atajua hajui[emoji3] imebidi nitoke nikachukue video na nimpaki tangu mchana!
BTW way hongera sana mzee umepata kitu cha ukweli sana! Ila zingatia sana report ya dashboard kila unapowasha asubuhi.. Na usiwashe na kuondoka subiri usome report yote na silencer ishuke
Kingine ni kuzingatia service.. Tumia certified na recommend lubricants tuu na spare pia.. Vilevile am sure y'all ni ya diesel, usijaze mafuta nje ya vituo ya Total, puma na Engen.. Hao wengine ni try n error.. Mafuta yao si hakika sana
Kama ni dungu la Lukosi huyu atalia mda si mrefuHili ni dungu la Lukosi?
Acha kumtisha mdauKama ni dungu la Lukosi huyu atalia mda si mrefu
Discovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuzionaAcha kumtisha mdau
Duh! Kama ni ivyo basiDiscovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Kuna mjuaji mmoja kaandika hivi[emoji1541]sisi toyota hatuna mataa
Yale madungu ya lukosi sio au??Kama ni dungu la Lukosi huyu atalia mda si mrefu
Magari ya uingereza mengi unakuta milage zimeenda sanaKwanini….
Kwenye gearbox maranyingi kinachosumbua ni transfer case! Usiwapelekee mafundi wasiozijua, fanya diagnosis kwa mtu anayejua vema kusoma codes .. Transfer case haina mbadala zaidi ya kuibadiliDiscovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Usisahau kumwambia kuwa hiyo transfer case si chini ya 5M kuinunua hapo Bado usafiri na kodi.Kwenye gearbox maranyingi kinachosumbua ni transfer case! Usiwapelekee mafundi wasiozijua, fanya diagnosis kwa mtu anayejua vema kusoma codes .. Transfer case haina mbadala zaidi ya kuibadili
Siyo kweli, mimi nna discovery mwaka wa 9 huu, ina miles 120,000 hiyo ni zaidi ya KM 190,000 na inadunda kama mpya.Discovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Siyo kweli, mimi nna discovery mwaka wa 9 huu, ina miles 120,000 hiyo ni zaidi ya KM 190,000 na inadunda kama mpya.
Ni matunzo tu, weka oils na filters za viwango vinavyokubalika.
Wewe na magari wapi wapi? Unafikiri gari zina longolongo za uchawi unazowadanganya wajinga wenzio humu?Kuna mjuaji mmoja kaandika hivi[emoji1541]
Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.!
Nimecheka mpaka nikakaa chini[emoji23]