king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Hivyo vijineno ndio ukisikia vinatwa misimu ujue ndio hivyo.Habari za asubuhi ndugu wa JF. Kimsingi baada ya muda mrefu kupita bila kuzamia katika mtandao wa kijamii wa Facebook /uso wa kitabu nadhani ndio sababu iliyonifanya nishangae kuona hii misamiati mipya. Sasa basi bila kuchoshana sana wajuvi naomba kusaidiwa maana halisi ya haya maneno.
* KUDAMSHI
* KAMA LOTE
Natanguliza shukrani.
Mmhh aisee kwahiyo unataka kusema havina maana yoyote ile?Hivyo vijineno ndio ukisikia vinatwa misimu ujue ndio hivyo.
Maana halisi vinalenga kuonveza vionjo/ msisitizo kwenye sifa inayoongelewa.
Waswahili wanasema misimu,maneno yanayoibuka na huwa yanapotea harakaHabari za asubuhi ndugu wa JF. Kimsingi baada ya muda mrefu kupita bila kuzamia katika mtandao wa kijamii wa Facebook /uso wa kitabu nadhani ndio sababu iliyonifanya nishangae kuona hii misamiati mipya. Sasa basi bila kuchoshana sana wajuvi naomba kusaidiwa maana halisi ya haya maneno.
* KUDAMSHI
* KAMA LOTE
Natanguliza shukrani.