Msaada wa idea ya biashara gani nifanye

Lio 002

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
436
Reaction score
68
Habar wana Jf, mm ni kjana niliehitimu diploma ya masoko na mauzo kutokana na upatikanaji mgumu wa ajira ninaomba kwa mtu yeyote ambaye ana wazo zuri la biashara naomba anisaidie kuniambia then ntalifanyia utafiti wa undani zaidi asanteni naomba kuwasilsha ila mm mwemyewe nilikuwa nna wazo la kuanzisha small micro loans coz nna mtaji wa million 5 asanteni sana nasubir mawazo yenu ndugu zangu
 
Du! Una Diploma ya Masoko na Mauzo halafu unaomba wazo kutoka kwa watu wengine? Basi ulicho nacho ni cheti/ganda lakini Diploma ilipita pembeni.
 
Du! Una Diploma ya Masoko na Mauzo halafu unaomba wazo kutoka kwa watu wengine? Basi ulicho nacho ni cheti/ganda lakini Diploma ilipita pembeni.

Ndo shida ya elimu yetu mkuu kesho paper leo zimamoto nyingi,, back to the topic mi huwa napata shida sana sana kumwambia/kumshauri ni biashara gani afanye, maana biashara utakayofanya ukawa unaifurahia ndo biashara utakayofanikiwa nayo, sasa mimi ntajuaje passion yako ilipolalia?
 

Ukisoma kwenye mada utaona nimesema wazo langu ni kufunguwa micro loans kitu ninachi kiitaji mawazo mengine ili niweze kufanya upambanuzi yaknfu juu ya biashara na mtu anayejuwa zaid juu ya micro loans ndugu zangu
 
The best Idea inatoka kwako wewe, usitarajie kuna mtu anaye weza kukupatia wazo bora, Na mafanikio ya Mjasirimali huanza na Wazo, na mtu akishindwa hata kuumiza kichwa kutafuta wazo basi hata kusimamia biashara hataweza. Ni wewe unaye takiwa kutoa wazo lako na heshimu wazo lako,

Tatizo kubwa ni kwamba mtu anaona anacho kiwaza sio kisa tu wengine hawakifanyi make tunajua mawazo ni yale yanayo fanywa na kila mtu, Usha wahi kujiuliza wavumbuzi wengi wao walitoa wapi mawazo yao? Jibu ni kwamba walikaa na kutengeneza,
 

Nimekuelewa mkuu asante kwa wazo lako
 

'Idea huanza toka kwako mwenyewe', huu ni msemo ambao watu wasio na mawazo ya kuwapa wenzio huutumia kama kinga.
 
Ingia kwenye post ya ujasiriamali hapa jamii forum, kuna mawazo kibao huko. Usivunjike moyo, utakutana pia na mawazo/ maelezo ya watu kukuvunja moyo. Ila ukitulia ukapitia hizo post, utapata kadhaa za kukufumbua macho.
 
Ingia kwenye post ya ujasiriamali hapa jamii forum, kuna mawazo kibao huko. Usivunjike moyo, utakutana pia na mawazo/ maelezo ya watu kukuvunja moyo. Ila ukitulia ukapitia hizo post, utapata kadhaa za kukufumbua macho.

Xawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…