JaffarMohammed
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 762
- 283
- Thread starter
-
- #301
Kitabu cha kiroho ambacho sio kutoka kwa Mungu?Kwasababu ni kitabu cha kiroho sio hadithi
Hebu wewe jibu swali langu hata moja kwanza halafu uulize na wewe nikujibu kama unataka mjadala.Jibu swali usitoke povu mbona umeuliza na pia mgumu kuelewa na mwepesi kusahau
Halafu mi nahisi nafanya mjadala na mtu asie na akili timamu. Kumbe naweza kua napoteza mda wangu bure kwa mtu asie na akili za uelewa. Akili zako zinaonesha wazi huelewi chochite ila umekaririshwa na umepandikizwa chuki kubwa! Kila nikikuuliza ushahidi wa unachokisema haujibu unazidi kuleta kashfa. Sasa kama unataka tuendelee mjadala naomba jibu maswali yangu na uliza ya kwako . Kama huwezi itaonesha wazi hujui lolote ila unadhani unajua. Sasa please kama imeshindwa kujibu tulia acha wanaume tuendelee na mada na wewe nenda jikoni kapike.wewe hauna uwezo kubishana na mimi kwenye Bible, nakushauri nenda kajilipue tu kama unavyofundishwa na mungu wako asiye na nguvu.ila ukifika huko kusikoonekana utakuja kujilaumu sana kwanini ulifuata imani inayopeleka watu motoni every minute hapa duniani.
Okay hata sie sote wanadamu ni wana wa mungu.Mwana wa mungu
Tupe elimuSidhani mnajua mnachobishania,mungu ni wengi mno kuna Yahweh, Allah na wengine kibao so hawafanani hata kidogo.
Elimu sikupi,ila ushauri tu.Shikamana na huyo Mungu uliyeshakabidhiwa kwake,mjue sana na umpende kwa moyo wako wote na mafundisho yake uyashike.wa jirani mwachie mwenyewe akiona wako ni mzuri atakuja kumtafuta.mungu naye anapigiwa debe kama daladala.Tupe elimu
Naomba nifafanue japokuwa jibu lake litakuwa gumu kumeza haswa kama huamini biblia na huamini Uungu wa Yesu Kristo. Cha kwanza kabisa naomba niseme bila uwoga kwamba Mungu ni mmoja hii inafafanuliwa kiundani kabisa katika biblia japo naomba nikupe mstari wa kuipa uhai dai langu hili shupavu. Tukiangalia katika Kitabu cha Isaya 45:18 inasemaHabari wana JF. naomba kufahamishwa kuhusu Yesu Mtoto wa Mariam. Je Imani ya Wasabato, Waroma na Madhehebu mengine wanamchukulia kama Nani? Je ni Mungu? Mwana wa Mungu ama Mtume wa Mungu? Asanteni.
Kwa hiyo bibi unakubali pia Yesu hakufa bali alinyakuliwa na kwa mujibu wa Quran kila nafsi itaonja mauti vp hapo kwa YesuQuran tukufu inasema hivi,"Na kwa kauli yao kuwa: ‘Tumemuua Yesu mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu’. Hakika ni kuwa hawakumuua wala hawakumsulubu, lakini walishabihishiwa kwao. Wale wanaotofautiana katika hilo wako katika shaka wala hawana ilimu ya uhakika kuhusu hilo, wanafuata tu dhana. Hakika ni kuwa hawakumuua".
"Bali Mwenyezi Mungu Alimnyanyua Kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima". [An-Nisaa: 157-158]
unaamini Quran haina tatizo nikuumbue hapa kuhusu kuchanganya hadithi za kucopy?Huu utata wa Yesu ni Mungu au sio Mungu ni wazi kuwa biblia ina tatizo,kwa sababu hili si tatizo la kutofautiana uelewa tu wa kutafsiri maandiko bali maandiko yenyewe pia huchanganya watu.
Hivyo huu ubishi unatia mashaka usahihi wa biblia.
jibu wa kwanza nani acha storiWa kwanza katika kila zama walikuepo. Yaani zama za firauni wapo walioanza kumkubali Mussa. Wapo waliokuwa wa kwanza kumkubali Ibrahimu nk. Nadhani utakua umeelewa
hata kumwamini alla pia mtihaniAjabu Sana ,,Mungu alipo kufa ,Na viumbe vyake vikaendelea kuishi ,,,sitaamini uungu wa yesu mpaka na kufa
Umeielewa post yangu lakini?unaamini Quran haina tatizo nikuumbue hapa kuhusu kuchanganya hadithi za kucopy?
Aahhh, hii kali, c ungeongeza nyingine!?Yeye alikuwako kwa baba, yeye alie uzima na nuru ya ulimwengu, yeye ndie mwana wa Mungu, pasipo yeye wala husingekuwepo uumbaji, vyote vimembwa kwa ajili yake, yeye ni mwana wa Mungu, yeye ni mtume wa Mungu, yeye ni nabii wa Mungu, yeye ni upatanisho wa njia ya haki, yeye mwenye nguvu ya Mungu, yeye aliezaliwa kwa roho matakatifu KATIKA kabila la yuda , MUNGU hawez kujitokeza uso kwa uso mbele ya binadam kama ilivikuwa kwa Adam, baada ya anguko la mwanadam Mungu akandaa mpango wa kuwakutanisha binadam na MUNGU, YESU alitakiwa azaliwe aishi kama sisi ili atakapo sulubiwa msalabani na kufa pia nakuzikwa azikwe na dhambi ya ulimwengu,akifufuka na nguvu ya Mungu