Ummesh
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,077
- 1,142
Ni uamuzi wake yeye. Kwani na wewe ni kwanini upo duniani?Au kwanini dunia ipo?Hebu nipe sababu ya Mungu kutaka kua kama kiumbe alichokiumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uamuzi wake yeye. Kwani na wewe ni kwanini upo duniani?Au kwanini dunia ipo?Hebu nipe sababu ya Mungu kutaka kua kama kiumbe alichokiumba?
Me? how?No, actually u make God look stupid....
Asante!Ukishafahamu kuwa Allah sio Mungu anayezungumzwa kwenye biblia wala hutapata taabu ya kuumiza kichwa bali utajikita kufanya yale yanayoagizwa kwenye imani yako. Sidhani kama umeshamaliza yale yote uliyoagizwa na imani yako na kwamba upo safi kwa ajili ya maisha yajayo kwa mujibu wa imani yako.
Tena tulia kabisa kama alif.mpaka muda ukifika kila goti litapopigwa na kila ulimi utapokiri ndiyo utakuwa muda sahihi wa wewe kujua,sasa hivi utajilisha upepo tu.muda wako bado achia wanaojua.Ahh kumbe nimsubirie tu. Raha kweli.okay wacha nisubiri
Ohh kwahiyo ukijua huna wajibu wa kumfundisha ambae hajui. Mbona Dini ya kichoyo hii? [emoji45]Tena tulia kabisa kama alif.mpaka muda ukifika kila goti litapopigwa na kila ulimi utapokiri ndiyo utakuwa muda sahihi wa wewe kujua,sasa hivi utajilisha upepo tu.muda wako bado achia wanaojua.
Hilo ni neno pekee ambalo MUNGU amekufungulia ufahamu wako, ukaweza kulitambua, kwanni hujiuliz nan alimtuma na kwa sababu gani alitumwa? Au unajifunza ku-quote?
Nimesoma kuanzia mada hadi post sijaona mahali ambapo nitapata nilichokuuliza,unaweza kunionesha?Sioni sababu ya kuanza kirudia yote niliyoyaandika. Hebu pitia post vizuri ndio utaelewa mjadala wetu.
Kuvaa kanzu kunaweza kuwa ni mavazi ya zaidi ya Waarabu lakini dini ya Kiislam ndiyo inawataka waumini wake wavae kanzu na vazi hilo ni vazi linalotambulika kama vazi la dini hiyo.Huyo Yesu uliymtaja hapo aliwahi wapi kuwaagiza wanaofuata maelekezo yake wavae kanzu?Pili kuvaa kanzu sio desturi ya waarabu. Hata Yesu wako alivaa kanzu na kilemba [emoji23] [emoji23]
Unaniuliza kuhus Yesu gani?Kuna Mtu Alisema Yesu kaumbwa kabla ya Mwanadamu wa Kwanza. Ndio mie nikamjibu kwamba kumbe kaumbwa!! Nawe ukauliza Yesu gani kaumbwa?
anyways isiwe issue. We unahisi Yesu hakuumbwa? Je unafahamu kua Yesu ana Mungu wake? Je unafahamu Kuwa Yesu hajui kila kitu?
Hilo deni la dhambi Mungu ambae nimuweza wa kila Jambo hawezi kulisamehe mpaka atoe kafara ya kifo na damu kwa mwanae? Ninavyojua mimi Mungu hata leo akiamua kutusamehe dhambi zetu anatusamehe tu. Hiyo kafara ya mpaka amuue mwanae kweli inaingia akilini? Yaani wewe uibe na ufanye uzinzi halafu badala ya kukusamehe niamue kumuua mtoto wangu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh huyu atakua Mungu wa kafara sasa !!
Mbwa akizaa mtoto mwenye sifa za paka kabisa kwa kila kitu,huyo mtoto hatuwezi kumwita mbwa kisa kazaliwa na mbwa bali tutamwita mtoto wa mbwa ila yeye ni paka.Yeye ndie mwana wa Mungu,
Jaffar, unamaanisha huwez kufanya kazi aliyokutuma baba yako, ok unadhani unashindwa kusimama kama baba yako kwa mambo mbali mbali ya mzee wako?
Tukisema mwana wa Mungu unapata ufahamu upi? Hivi mtoto wa mbwa ni paka eti,au? Ufahamu na fikra ndio tatizo KUBWA. YESU hasingeweza kusurubiwa pamoja na nguvu ya kiungu, ndio maana alilia msalabani akimwambia mungu mbona umeniacha juu ya msalaba alikuwa binadam totally hadi kufa na kuzikwa , baada ya kufufuka alikuwa si mwanadamu tena japo nyie watoto wa mamdogo hamuamin hivo na si kwa IMAN ya kwel bali ya kupandikizwa
The Problem of Paul.Soma Nyaraka za Mtume Paulo, mara kadhaa anamuita Yesu "Mzaliwa wa kwanza"..
Anda mimi sifungamani na dini yoyote, ila naamini katika Mungu na namshukuru walau nazijua dini zote hizi kwa sehemu
The Problem of Paul.Kwani huyo muhamad nani alimpa utume????
Wewe mbona unarusha mawe umesahau nyumba unayoishi ni ya vioo???
Yesu ni Mungu...Habari wana JF. naomba kufahamishwa kuhusu Yesu Mtoto wa Mariam. Je Imani ya Wasabato, Waroma na Madhehebu mengine wanamchukulia kama Nani? Je ni Mungu? Mwana wa Mungu ama Mtume wa Mungu? Asanteni.
"Yesu ni Mungu kamili na binadamu kamili"Mkuu;
Unapotaka kumfikiri Mungu kinadharia inakuwa ngumu kuelewa. Neno moja fupi tu ni kuwa; Amini kwamba, Yesu ni Mungu. Yaani, baada ya mwanadam kuanguka, Mungu alitaka kumrudisha kwake. Aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu. Kumbuka; Hakuumbwa mwingine yeyote kwa mfano na sura ya Mungu kama mwanadam.
Hivyo, akatakiwa, mwanadam kweli, amkomboe (amlipie) deni mwanadam. Mungu akasema, awepo wa kufanana na mwanadam amkomboe mwanadam. Kwa sababu; Dam ya mnyama haikusaidia ikatakiwa dam isio na hatia. Mungu, akalituma neno lake, likafanyika mwili (mtu) akaishi ka sisi, akajaribiwa ka sisi lakini hakutenda dhambi. (Yesu).
Mkuu, ni furaha kuamini hivyo kwani aliyeumba mbingu na nchi huwezi kumfaham kwa ubongo wako weye kwani nao aliuumba. Chukulia tu hivi; Aliyeumba hawezi lingana na aliyeumbwa.
Yesu ni Mungu kamili na mtu kamili.
Mnamaanisha nini mnaposema YESU KRISTO...!!? Naona wengi humu wanakula matapishi yao...!! Maana mnajichanganya pasipo kujuana...!!Sioni sababu ya kuanza kirudia yote niliyoyaandika. Hebu pitia post vizuri ndio utaelewa mjadala wetu.
Pili kuvaa kanzu sio desturi ya waarabu. Hata Yesu wako alivaa kanzu na kilemba [emoji23] [emoji23]
Mnamaanisha nini mnaposema YESU KRISTO...!!? Naona wengi humu wanakula matapishi yao...!! Maana mnajichanganya pasipo kujuana...!!
Huwezi kumtaja YESU bila kuweka KRISTO mbele yake.....hivyo elewa unapo sema MPINGA KRISTO...unamaanisha mpinga mafunzo/mafundisho ama maongozo ya Yesu...
"Yesu ni Mungu kamili na binadamu kamili"
Hebu fafanua.
Sijakuelewa.Mkuu;
Kama unaamini kuwa Yesu ni Mungu kamili basi usimtetee kwani Mungu hatetewi hujitetea mwenyewe. Uwezo huo anao kama ukimwomba ajidhihirishe kwako. Hapa huna haja ya kuwa na imani. No, mwombe tu kuwa ungeomba aidhihirishe kwako naye hufanya.
Dont beat around the Bush my Friend. Unajua Exactly ni yupi tunamuongelea.Unaniuliza kuhus Yesu gani?
Kwenye klabu ya Manchester Cuty kuna mchezaji anaiwa Yesu,nitaelewaje kuwa humsemi huyu?
Kwanini unapouliza usiulize swali lililokamilika kwa kusema ni nani mwenye sifa zipi unayemuulizia?