Msaada wa Imani

Msaada wa Imani

..You are A Liar,seventh adventists Beleive Jesus Is God bana na Biblia sio Kama Quran kuielewa u need tha Holy spirit ukimkosa ndo unakuta unajikanyaga kama unavofanya sasa Ivii
Thanks for calling me a liar!! ukifatilia convo vizuri step kwa step utaona wenzio wanasema wao sio wakristo sababu wanaamini Yesu ni mtume wa Mungu. Sasa liar sio mimi ni wakristo wenzio.anyways vipi kuhusu suala la wao kuabudu siku ya kwanza ya wiki na nyie kuabudu siku ya pili?
Halafu huyo holy spirit ndio anatumika zaidi kuwadanganya. kwani Mungu hapendi watu wafaulu mpaka afanye maandiko yawe magumu kuyaelewa?
Mimi binafsi naona maandiko yako wazi kabisa. Wala hayahitaji mtu mwingine kuja kunidanganya kua hapa Mungu kasema hiki na hapa kasema hiki.

Ntakupa mfano mdogo. MUSSA alipokua amepanda mlima kuna mahala alifika Mungu akamwambia avue viatu maana alipokanyaga ni mahala patakatifu.
Ukimuuliza mkristo kwanini anaingia kanisani na viatu je si eneo takatifu ?
Utasikia eti mchungaji anasema hakumaanisha viatu hivi vya kawaida, alimaanisha eti avue dhambi zake [emoji23] cha kushangaza sasa Mussa kweli alivua viatu hivi hivi ambavyo tunavijua sisi [emoji23] .hayo ndio mambo sasa ya kudanganywa kwa jina la roho mtakatifu[emoji23] [emoji23]
7963d2eabfd9d4dcd24b54ee226eb2da.jpg
 
..Quran Ina conflicts Kibao na contradictions Yaani inapingana yenyewe kwa yenyewe achana na errors
example; 1.Who Was the First Muslim? Muhammad [6:14, 163], Moses [7:143], some Egyptians [26:51], or Abraham [2:127-133, 3:67] or Adam, the first man who also received inspiration from Allah [2:37]?
2. Can Allah be seen and did Muhammad see his Lord? Yes [S. 53:1-18, 81:15-29], No [6:102-103, 42:51].
3. Will it be accepted of them or not?
Will Allah reward the good deeds of Unbelievers? S. 9:17 and 9:69 clearly say no. However, S. 99:7 implies yes. Moreover, S. 2:62 promises Christians reward for their good deeds. But S. 9:28-33; 5:17, 72-73 calls Christians idolaters, and S. 9:17 is very clear that idolaters will have no reward.
4. Does Allah forgive shirk? Shirk is considered the worst of all sins, but the author of the Qur'an seems unable to decide if Allah will ever forgive it or not. No [4:48, 116], Yes [4:153, 25:68-71]. Abraham committed this sin of polytheism as he takes moon, sun, stars to be his Lord [6:76-78], yet Muslims believe that all prophets are without any sin.
This are Just some of the Issues zipo nyingi sana
Heheh kaka wacha kufurahisha watu.
Weka andiko moja moja hapa tulichambue.NIKO tayari kukuelewesha wala huku kwetu hapahitaji mambo ya Mpaka uwe na roho mtakatifu ndio uelewe!! [emoji23]
unaporundika mambo watu wanaeza hisi unasema kweli kumbe unadanganya.

Mie nimekuuliza kule swali moja tu. Kuhusu kifo cha Yuda unasema ni error ya Kutafsiri. Kiingereza iko sawa
Sasa ngoja niweke hayo maandiko kwa kiingereza tuone kama ni Sawa:-
Matthew 27:5
Then he threw down the pieces of silver in the temple and departed, and went and HANGED HIMSELF.

Acts 1:18
Now this man purchased a field with the wages of iniquity; and FALLING HEADLONG he burst open in the middle and all his entrails gushed out.

sasa kama unaelewa kiingereza niambie alikufaje? Alijinyonga ama alianguka akiwa shambani?
Unataka kusema hiyo ni error kweli? Hiyo ni CONTRADICTION.
Sasa chagua kimoja wapo alikufaje halafu hapo hapo kwenye kifo chake nikupige swali jingine La UTATA.
 
Kwa mujibu wa biblia;

1. Yesu ni Mungu
Soma Yohana 1

2. Yesu ni moja ya Nafsi tatu za Mungu (Mwana) nafsi nyingine ni Roho na Baba.

3. Yesu ni Mzaliwa wa Kwanza wa Viumbe vyote.

4. Yesu ni "Kuhani Mkuu" katika hekalu la kiroho mbinguni (Melkizedeki).
Soma kitabu cha Waebrania

5. Yesu ni Nabii (alipokuwa katika mwili alifanya kazi za kinabii)

Kwa mujibu wa Biblia sio mimi, binafsi nakubaliana na baadhi na napingana na baadhi.!
Wewe unaamini lipi
 
Heheh kaka wacha kufurahisha watu.
Weka andiko moja moja hapa tulichambue.NIKO tayari kukuelewesha wala huku kwetu hapahitaji mambo ya Mpaka uwe na roho mtakatifu ndio uelewe!! [emoji23]
unaporundika mambo watu wanaeza hisi unasema kweli kumbe unadanganya.

Mie nimekuuliza kule swali moja tu. Kuhusu kifo cha Yuda unasema ni error ya Kutafsiri. Kiingereza iko sawa
Sasa ngoja niweke hayo maandiko kwa kiingereza tuone kama ni Sawa:-
Matthew 27:5
Then he threw down the pieces of silver in the temple and departed, and went and HANGED HIMSELF.

Acts 1:18
Now this man purchased a field with the wages of iniquity; and FALLING HEADLONG he burst open in the middle and all his entrails gushed out.

sasa kama unaelewa kiingereza niambie alikufaje? Alijinyonga ama alianguka akiwa shambani?
Unataka kusema hiyo ni error kweli? Hiyo ni CONTRADICTION.
Sasa chagua kimoja wapo alikufaje halafu hapo hapo kwenye kifo chake nikupige swali jingine La UTATA.
..Mkuu With the Bible we Put things together to Get a Clearer Picture since those verses were written In different Times na hayo matukio hayakutokea kwa wakati mmoja ILA this is what Happened:
Matthew writes that Judas "hanged himself." Luke explains what happened later, after Judas' body began to decompose. The corpse slipped from the rope, "falling headlong, . . . burst open in the middle and all his entrails gushed out"—the ignominious, yet deserved end of "the son of perdition" (John 17:12).
 
Thanks for calling me a liar!! ukifatilia convo vizuri step kwa step utaona wenzio wanasema wao sio wakristo sababu wanaamini Yesu ni mtume wa Mungu. Sasa liar sio mimi ni wakristo wenzio.anyways vipi kuhusu suala la wao kuabudu siku ya kwanza ya wiki na nyie kuabudu siku ya pili?
Halafu huyo holy spirit ndio anatumika zaidi kuwadanganya. kwani Mungu hapendi watu wafaulu mpaka afanye maandiko yawe magumu kuyaelewa?
Mimi binafsi naona maandiko yako wazi kabisa. Wala hayahitaji mtu mwingine kuja kunidanganya kua hapa Mungu kasema hiki na hapa kasema hiki.

Ntakupa mfano mdogo. MUSSA alipokua amepanda mlima kuna mahala alifika Mungu akamwambia avue viatu maana alipokanyaga ni mahala patakatifu.
Ukimuuliza mkristo kwanini anaingia kanisani na viatu je si eneo takatifu ?
Utasikia eti mchungaji anasema hakumaanisha viatu hivi vya kawaida, alimaanisha eti avue dhambi zake [emoji23] cha kushangaza sasa Mussa kweli alivua viatu hivi hivi ambavyo tunavijua sisi [emoji23] .hayo ndio mambo sasa ya kudanganywa kwa jina la roho mtakatifu[emoji23] [emoji23]
7963d2eabfd9d4dcd24b54ee226eb2da.jpg
..kama mlivyo sampuli mbalimbali za Muslims ndo tulivyo Christians combining us as One isn't Literate at All
 
Heheh kaka wacha kufurahisha watu.
Weka andiko moja moja hapa tulichambue.NIKO tayari kukuelewesha wala huku kwetu hapahitaji mambo ya Mpaka uwe na roho mtakatifu ndio uelewe!! [emoji23]
unaporundika mambo watu wanaeza hisi unasema kweli kumbe unadanganya.

Mie nimekuuliza kule swali moja tu. Kuhusu kifo cha Yuda unasema ni error ya Kutafsiri. Kiingereza iko sawa
Sasa ngoja niweke hayo maandiko kwa kiingereza tuone kama ni Sawa:-
Matthew 27:5
Then he threw down the pieces of silver in the temple and departed, and went and HANGED HIMSELF.

Acts 1:18
Now this man purchased a field with the wages of iniquity; and FALLING HEADLONG he burst open in the middle and all his entrails gushed out.

sasa kama unaelewa kiingereza niambie alikufaje? Alijinyonga ama alianguka akiwa shambani?
Unataka kusema hiyo ni error kweli? Hiyo ni CONTRADICTION.
Sasa chagua kimoja wapo alikufaje halafu hapo hapo kwenye kifo chake nikupige swali jingine La UTATA.
..anza na Swali langu La kwanza who Is the first Muslim ndugu naomba na Evidence Ya Fungu From the Quran maana Yangu ushayaona hapo Juu
 
..Mkuu With the Bible we Put things together to Get a Clearer Picture since those verses were written In different Times na hayo matukio hayakutokea kwa wakati mmoja ILA this is what Happened:
Matthew writes that Judas "hanged himself." Luke explains what happened later, after Judas' body began to decompose. The corpse slipped from the rope, "falling headlong, . . . burst open in the middle and all his entrails gushed out"—the ignominious, yet deserved end of "the son of perdition" (John 17:12).
Boss hebu wacha niyaweke haya maandiko hapa kila mtu ayaone.

naomba kila mmoja atasome kwa makini maana ntafatisha maswali

Kifo cha yuda
Matendo 1:18-19
18 Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu.akiwa shambabi hujo Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje.

19 Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba Hekeli Dama, maana yake, Shamba la Damu.

Kifo cha yuda kingine
Matayo 27:5
Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha. 4 Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako." 5 Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga. 6 Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu." 7 Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni. 8 Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Haya wewe umesema kua luke ameeleza tukio baada ya Kujinyonga akaoza ndio akateleza kwenye kamba na kupasuka katikati. Japo haileti sense lakini wacha tuendelee.

Je zile Fedha alizifanyia nini?
Ukisoma vizuri utaona kwenye Matayo alizitupa hekaluni akaenda akanyinyonga.
Lakini mbona Matendo inasema Alinunua Shamba?
Swali je alizitupa au yeye alinunua shamba?
 
Yesu ni Mungu...

Wasabato siyo Wakristo hivyo wanamchukulia Yesu kama Nabii sawa na Ellen G White...
Uongo.
Kwa faida yako ukiendelea kubishana na wasabato.
Katika misingi 28 ya usabato inataja wazi msingi wa 3 unaelezea utatu mtakatifu na msingi wa 5 unaeleza Yesu kama Mungu, mwana wa Mungu, mwokozi, mwombezi.
 
Boss hebu wacha niyaweke haya maandiko hapa kila mtu ayaone.

naomba kila mmoja atasome kwa makini maana ntafatisha maswali

Kifo cha yuda
Matendo 1:18-19
18 Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu.akiwa shambabi hujo Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje.

19 Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba Hekeli Dama, maana yake, Shamba la Damu.

Kifo cha yuda kingine
Matayo 27:5
Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha. 4 Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako." 5 Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga. 6 Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu." 7 Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni. 8 Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Haya wewe umesema kua luke ameeleza tukio baada ya Kujinyonga akaoza ndio akateleza kwenye kamba na kupasuka katikati. Japo haileti sense lakini wacha tuendelee.

Je zile Fedha alizifanyia nini?
Ukisoma vizuri utaona kwenye Matayo alizitupa hekaluni akaenda akanyinyonga.
Lakini mbona Matendo inasema Alinunua Shamba?
Swali je alizitupa au yeye alinunua shamba?
..Mkuu Hilo ni swali La pili unauliza tofauti na Lile ulilouliza Awali(alijinyonga au aliangua akapasuka),ambalo nishakujibu tayari ntakujibu na Hili ILA ikumbukwe nmekuuliza swali Pia ebu Nijibu na Mimi nikujibu basi Tuelewane vizuri
 
..anza na Swali langu La kwanza who Is the first Muslim ndugu naomba na Evidence Ya Fungu From the Quran maana Yangu ushayaona hapo Juu
Hajumaliza swali langu la kwanza.unataka nikujibu lako?
Anyways hiyo ni ishu ndogo sana.
Kwanza unatakiwa uielewe nini maana ya Uislamu ? Na ni yupi muislamu? Mtu yoyote ambae anakiri kwa moyo kua Mungu muumba ni mmoja na hana mshirika ni Muislamu.
Which means Mungu alikua akituma mitume wake mara kwa mara na kwa nyakati tofauti. So enzi za Mussa kwa Mfano waliokubali maamrisho aliyokuja nayo Mussa walikua waumini na wameamini. mfano huo huo katika zama mbalimbali umetumika. Kila kipindi mitume walivyokuja na ujumbe wa Mungu Mmoja waliomuamini . Na ukiangalia maandiko hayo mengi yanasema:
26:51
Hakika sisi tunatumai Mola wetu Mlezi atatusamehe makosa yetu, kwa kuwa ndio wa kwanza wa kuamini.

So hakuna contradiction hapo ni vipindi tofauti na nyakati tofauti . Kuamini ama kuslimu kwao ni kwa kukumkubali mtume aliekuweko kwa wakati huo.
 
..Mkuu Hilo ni swali La pili unauliza tofauti na Lile ulilouliza Awali(alijinyonga au aliangua akapasuka),ambalo nishakujibu tayari ntakujibu na Hili ILA ikumbukwe nmekuuliza swali Pia ebu Nijibu na Mimi nikujibu basi Tuelewane vizuri
Hebu soma vizuro nimekwambia wacha nikukubalie ili tuendelee na swali jingine kuhusu huyo huyo yuda. Japokua umeweka stori yako tu kwamba alioza kwenye mti na akateleza kwenye kamba[emoji23] jambo ambalo hata mwandishi halijui.

Anyways nipe jibu sasa la swali langu kuhusu mada hiyo hiyo
Je pesa alizizipata kwa njia ya ubadhilifu alizifanya nini
Je alizitupa HEKALUNI
au Je alizinunulia shamba?
 
Kwa harakaharaka
Catholic - Wanaamini katika Trinity(Mungu = Baba +Mwana(Yesu) + Roho Mtakatifu) - Yesu ni Mungu
Wasabato - Wanaamini katika Trinity(Mungu = Baba +Mwana(Yesu) + Roho Mtakatifu) - Yesu ni Mungu
Jehovah Witness - Yesu sio Mungu na kusema Yesu ni Mungu ni kama unakufuru kwao

Wafuasi wa yesu wengine/Walokole/waprotestants baadhi;
1:Yesu ni Mungu huyohuyo katika Utendaji tofauti
2:Wengine Mungu ni Roho na kwa uwezo wake anaweza kuexist katika form mbalimbali kulingana na anavyohitaji

MAONI YANGU.
Yesu ni Mungu lakini kwa anayeamini bibilia nzima iko sahihi na kila neno la kwenye bibilia liliandikwa kwa Uongozi wa Roho mtakatifu na sio mawazo ya watu, Kwa sababu Sifa zote za Mungu Amepewa Yesu katika bibilia. Mchanganyiko utakuja katika kumchambua ni Mungu katika Mfumo upi. Ila aliitwa Imanuel yaani Mungu pamoja na Wanadamu.
Mchanganyiko mwingine unakuja Anapozaliwa katika umbile la wanadamu hiyo sayansi ndio kwa finite mind zetu inashindwa kuingia akilini mwa wengi sio sisi tu hata wale Mafarisayo hawakumuelewa alipwaambia kuwa Alikuwepo kabla hata baba yao Ibrahimu Ajazaliwa. Wakataka kumponda mawe maana upeo wao ulikuwa ni kuwa yesu mwana wa Yusufu na Mariam na sio Aliyekuwepo hata kabla ya kuwekwa misingi ya Ulimwengu.

Nakubali changamoto katika maoni yangu

Ndio Tatizo mpaka leo Watu wengi wanaahindwa kuelewa swala la yesu sio mtoto wa mariam na yusufu tunavyooelewa kibinadamu.. chaajabu hata kuruani inasema yesu alizali na bikira mariam kwakupata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu.
 
Ndio Tatizo mpaka leo Watu wengi wanaahindwa kuelewa swala la yesu sio mtoto wa mariam na yusufu tunavyooelewa kibinadamu.. chaajabu hata kuruani inasema yesu alizali na bikira mariam kwakupata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Kwa hiyo kama kazaliwa na mama peke yake unataka kusemaje?
 
Boss hebu wacha niyaweke haya maandiko hapa kila mtu ayaone.

naomba kila mmoja atasome kwa makini maana ntafatisha maswali

Kifo cha yuda
Matendo 1:18-19
18 Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu.akiwa shambabi hujo Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje.

19 Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba Hekeli Dama, maana yake, Shamba la Damu.

Kifo cha yuda kingine
Matayo 27:5
Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha. 4 Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako." 5 Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga. 6 Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu." 7 Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni. 8 Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Haya wewe umesema kua luke ameeleza tukio baada ya Kujinyonga akaoza ndio akateleza kwenye kamba na kupasuka katikati. Japo haileti sense lakini wacha tuendelee.

Je zile Fedha alizifanyia nini?
Ukisoma vizuri utaona kwenye Matayo alizitupa hekaluni akaenda akanyinyonga.
Lakini mbona Matendo inasema Alinunua Shamba?
Swali je alizitupa au yeye alinunua shamba?
..Tatizo Mkuu unatumia akili Yako kuelewa Biblia this Is not the Quran ambayo mnakariri You have to understand the LOGIC let me Digest It for You!!!!
That is, the field was acquired indirectly by Judas, through the agency of the chief priests. As Matt. 27:3–7 records, Judas brought the 30 pieces of silver back to the chief priests and elders. The chief priests then purchased the potter’s field with Judas’s money, with the same effect as if Judas had himself made the purchase.

Mfano,Ukimtuma mtoto dukani nyote wawili mnafanya Purchaising,aliyeenda kununua anafanya physical purchaising alietoa Hela anafanya Financial purchaising maana ametoa Hela,Hope u have fathomed the Meaning already!
 
Uongo.
Kwa faida yako ukiendelea kubishana na wasabato.
Katika misingi 28 ya usabato inataja wazi msingi wa 3 unaelezea utatu mtakatifu na msingi wa 5 unaeleza Yesu kama Mungu, mwana wa Mungu, mwokozi, mwombezi.
Bibi Ellen G White hakuamini Utatu Mtakatifu.....Ellen G White Estate ilificha nyaraka alizoandika Bi Ellen ambazo alipinga Utatu Mtakatifu akisema Utatu Mtakatifu ni mambo ya Kipagani ya Wakatoliki...

Na hii ndio ilimfanya Joseph Simth kujiondoa SDA na kuanzisha Jehova Witness...
 
Uongo.
Kwa faida yako ukiendelea kubishana na wasabato.
Katika misingi 28 ya usabato inataja wazi msingi wa 3 unaelezea utatu mtakatifu na msingi wa 5 unaeleza Yesu kama Mungu, mwana wa Mungu, mwokozi, mwombezi.
"Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo" 8:8 yeremia
 
Hebu soma vizuro nimekwambia wacha nikukubalie ili tuendelee na swali jingine kuhusu huyo huyo yuda. Japokua umeweka stori yako tu kwamba alioza kwenye mti na akateleza kwenye kamba[emoji23] jambo ambalo hata mwandishi halijui.

Anyways nipe jibu sasa la swali langu kuhusu mada hiyo hiyo
Je pesa alizizipata kwa njia ya ubadhilifu alizifanya nini
Je alizitupa HEKALUNI
au Je alizinunulia shamba?
..Like I said Mkuu Bible sio novel,thats where the Holy spirit comes In na Biblia Inategemean It is “here a little, and there a little.” This is why Paul said we must “rightly divide the truth” (II Tim. 2:15) sasa acha kuleta Hoja zako ulozokaririshwa huko kuJudge Biblia and u understand nothing tulia usomeshwe
 
Back
Top Bottom