hamna umbali sana ila unapanda daladala sh 500 toka nyegez to bugando hospital ambapo kpo chuo
Kuingia SAUT rahis sanaa kuchomoka sasa kudadekii... vpnd tsa na research proposal juu. Ila ndo elimu inatakiwa hivyo hakuna mchezo mchezo apaaa
Hamna gari la moja kwa moja toka nyegezi to bugando ni bora ukae hostel msosi pale wali maharage ni buku tu.
Kuingia SAUT rahis sanaa kuchomoka sasa kudadekii... vpnd tsa na research proposal juu. Ila ndo elimu inatakiwa hivyo hakuna mchezo mchezo apaaa
Mliochaguliwa vyuo vilivyopo Mwanza someni. mfuate yaliyowapeleka( masomo).
Mwanza kuna starehe sana kwa sasa.
Kuna villa shimini, villa dansi, villa taarabu na misosi kiboko.
Shooters kuna misosi na dstv mpira usiseme. kitimoto saaafi kwa castle lite.jirani kuna milupo bei hata buku unaopoa(ukimwi upo na unaua)
Boom likitoka goldcrest coffee buku 4(amua) jb belmont , malaika sizzker zite mjini kati.
mkicheza tu mmefeli.
Kwa mabinti wazee wa mwanza wana hela na wanahionga mihela(ukimwi upo) Mza hali ya hewa ukitaka kwenda saa nane kisiwani poa ukerewe poa.
SOMENI mtimize ndito zenu
Huwa nawashangaa wanajisifia vyuo vyao msuli wa saut ni chiboko.
Ndio jaman tusaidiane
karibu malimbe mkuu,
Vilevile St. Augustine - Malimbe Campus, kuna Bango kubwa sana la kuwakaribisheni linalosomeka "... Graduate with A's, Do Not Graduate With AIDS"! Bango linatia woga kiasi. Kazi kwenu watoto wa Mh. Mulugo. Wadau tunasubiri Gold Crest!!
mkuu unaishi mahina nini au?
Oyaa uko pande zipi?
Karibuni sana 2lijenge jiji la mungu, mchakamchaka wa SAUT c mchezo, kama kuna yoyote kachaguliwa kozi ya Engineering aniulize chochote kuhusu kozi hyo pale SAUT