Msaada wa jina la Embe ng'ong'o kwa kiingereza

Msaada wa jina la Embe ng'ong'o kwa kiingereza

'Barking Mango."
mhh,mkuu mbona nimesearch google nikakutana na picha hizi hapa
262087429_877c4344a3_o.jpg
 
Alieuliza hili swali namsifu kwanza si kila mtu anapenda kujua, hili tunda japo wengi wanapenda kuyala.
Hili embe ng'ong'o kwa ngeli (common name) linaitwa ""Monkey mango"", scientific name ni ""Spondus sytherea"" ipo kwenye family moja na mango ya kawaida inayoitwa ""Mangifera indica"" family yao ni ""Anacadiaceace"" Mm ni mtaalam wa Horticulture apa uliza kuhusu any fruit, vegetable, spice na ornamental plants. Utajibiwa mkuu.
 
Ni mango tuu, maana maembe yetu ya TZ yana majina mengi, kama vile embe bwabwa, embe nyonyo, embe viringe kwa wakazi wa Tanga ni viunga vyake wanayafahamu sana haya n.k
 
Alieuliza hili swali namsifu kwanza si kila mtu anapenda kujua, hili tunda japo wengi wanapenda kuyala.
Hili embe ng'ong'o kwa ngeli (common name) linaitwa ""Monkey mango"", scientific name ni ""Spondus sytherea"" ipo kwenye family moja na mango ya kawaida inayoitwa ""Mangifera indica"" family yao ni ""Anacadiaceace"" Mm ni mtaalam wa Horticulture apa uliza kuhusu any fruit, vegetable, spice na ornamental plants. Utajibiwa mkuu.
woow so thanks kisoko barikiwa sana kwa jibu la kitaalamu
 
Alieuliza hili swali namsifu kwanza si kila mtu anapenda kujua, hili tunda japo wengi wanapenda kuyala.
Hili embe ng'ong'o kwa ngeli (common name) linaitwa ""Monkey mango"", scientific name ni ""Spondus sytherea"" ipo kwenye family moja na mango ya kawaida inayoitwa ""Mangifera indica"" family yao ni ""Anacadiaceace"" Mm ni mtaalam wa Horticulture apa uliza kuhusu any fruit, vegetable, spice na ornamental plants. Utajibiwa mkuu.
yeah nimepata sasa jina lake ni Ambarella yeah ndio embe ng'ong'o kwa kiswahili
 
Back
Top Bottom