AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
- Thread starter
- #41
yani we acha tu mkuuMbona sioni jibu? Au wote hatujui tunajua siasa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani we acha tu mkuuMbona sioni jibu? Au wote hatujui tunajua siasa tu
wadau naomba mnisaidie eti embe ng'ong'o kwa kiingereza linaitwaje?
mhh,mkuu mbona nimesearch google nikakutana na picha hizi hapa'Barking Mango."
mkuu hiyo pundis ni hii hapaPundis
mkuu hiyo mango coco ni hii hapaMango coco
Eh mkuumkuu ya kweli hii?
mhh,mkuu mbona nimesearch google nikakutana na picha hizi hapa![]()
wadau naomba mnisaidie eti embe ng'ong'o kwa kiingereza linaitwaje?
kokwa za embe hizoHayo ni maharage yaliyo ungua au? Siipati picha vizuri.
woow so thanks kisoko barikiwa sana kwa jibu la kitaalamuAlieuliza hili swali namsifu kwanza si kila mtu anapenda kujua, hili tunda japo wengi wanapenda kuyala.
Hili embe ng'ong'o kwa ngeli (common name) linaitwa ""Monkey mango"", scientific name ni ""Spondus sytherea"" ipo kwenye family moja na mango ya kawaida inayoitwa ""Mangifera indica"" family yao ni ""Anacadiaceace"" Mm ni mtaalam wa Horticulture apa uliza kuhusu any fruit, vegetable, spice na ornamental plants. Utajibiwa mkuu.
yeah nimepata sasa jina lake ni Ambarella yeah ndio embe ng'ong'o kwa kiswahiliAlieuliza hili swali namsifu kwanza si kila mtu anapenda kujua, hili tunda japo wengi wanapenda kuyala.
Hili embe ng'ong'o kwa ngeli (common name) linaitwa ""Monkey mango"", scientific name ni ""Spondus sytherea"" ipo kwenye family moja na mango ya kawaida inayoitwa ""Mangifera indica"" family yao ni ""Anacadiaceace"" Mm ni mtaalam wa Horticulture apa uliza kuhusu any fruit, vegetable, spice na ornamental plants. Utajibiwa mkuu.
poa mkuuhuenda itakuwepo mkuu,mzungu hakuna asichojua dunia hii